Ameniboaa! Marafiki wa social network

Ameniboaa! Marafiki wa social network

Hahahaaaaa.... Jamani wewe mtu fudenge ambaye tumepanga tuonane Jumamosi naomba usiniite hani wala usinishike kiuno... Hahahaa..!!

haahaaha Neylu beby Utashngaa umeshkwa buttocks sauli yako !
 
kuna hichi kitu kinaboa sana mtu unakwenda/unapanga kukutana na mtu hata kama sio festi time, lakini mtu unakuta muda wote yupo na ubize usioisha na simu, mara msg zinaingia mfululizo yupo bize kuzijibu, mara simu zinaingia mfululizo ikikatika hii inaingia nyingine utafikiri kastama kea!
unaongea/unamsemesha maneno ishirini anajibu neno moja, kana kwamba kuonana kwenu hakutilii maananani au amedharau kuonana kwenu au ni ushamba tu, kama ni notifications si ataresponda hata baadaye au hata kama ni kuchat na kujibu msg si aweke simu pembeni kuna baadaye ataendelea kuchat !!!
 
Du!
Hiyo ndiyo jf nyuma ya mapazia bana.
Sasa kwanini na wewe umekuja kumchora huku bana?
Halafu mtu anakuita HANI unachukia? Unataka akuite Poison?
Hahahahaah swahiba watu wengine bana.... sijui kwanini hakumPM wamalizane? Tena na namba za simu anazo angeweza kumpa kubwa tu yaishe.... Vijana wa siku hizi bana!
 
sasa jamaa si alitaka ujue na yeye ana IPAd jameni, hata kama aliazima.
 
Hahahaaaaa.... Jamani wewe mtu fudenge ambaye tumepanga tuonane Jumamosi naomba usiniite hani wala usinishike kiuno... Hahahaa..!!
nimekusikia hani wala sitakuita hani, :smile-big:
 
Daaa huyo kaaribu sana hizi bahati mbona hazitukuti sie?

"To know the enemy is half the victory"
 
What a coincidence! sakapal kaongelea hii na wewe ukapata ngex ya kidate.

Hehehe ngastukaaa!

Siyo kila ukifikiriacho ndicho chenyewe rafiki...

attachment.php
 
Sijui kama inawezekana nadhani mlishawekeana mazoea ya mapenzi humu JF au sms za simu,so mmekutana akatumia ile ile formula we ukamind tu

Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
kuna hichi kitu kinaboa
sana mtu unakwenda/unapanga kukutana na mtu hata kama sio festi time,
lakini mtu unakuta muda wote yupo na ubize usioisha na simu, mara msg
zinaingia mfululizo yupo bize kuzijibu, mara simu zinaingia mfululizo
ikikatika hii inaingia nyingine utafikiri kastama kea!
unaongea/unamsemesha maneno ishirini anajibu neno moja, kana kwamba
kuonana kwenu hakutilii maananani au amedharau kuonana kwenu au ni
ushamba tu, kama ni notifications si ataresponda hata baadaye au hata
kama ni kuchat na kujibu msg si aweke simu pembeni kuna baadaye
ataendelea kuchat !!!
Ukiona hivyo ujue hizo simu na msg zina umuhimu pia.
Kukutana na wewe hakufanyi maisha yasimame.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom