Ameniboaa! Marafiki wa social network

Ameniboaa! Marafiki wa social network

hahahaaaaa nimecheeka mpaka kidogo niunguze mboga teehh
kwahiyo ulijua mnakutana na shalobalo ili mkafanye biashara au? wakatia keshakwambia kavutiwa na sredi alivyokuona nazani ndio ukammaliza kabisaaaaaa msamehe bure jamani sio makosa yake jamani.
hivi lakini tifaa wewe una umri gani kwani?
maana mikasa haikushi vipi kanisa la kiroho ulishapata?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom