Ameniboaa! Marafiki wa social network

Ameniboaa! Marafiki wa social network

Sasa povu la nini si ndo kidigitali,

We ukiona mistari humu uanazani malijaaaali, wengine midomo zege!
Yeye anachojuwa ushakubali kifuatacho ITV ni dudu tu!
Na bahati yako ungekubali mgegedo angepizi yeye tu.

Post of the day, Mheshimiwa umenichekesha bila chenga..
 
Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa
akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali namahali nilipo ikabidi tukutane, mara phone yake ikaita kaongeaa karibia lisaa sijakaa sawa katoa ipad kaanza kubrows mambo yake heee ikabidi nimshangae hakuna maongezi mpaka hapo ee, mara samahani honey ingia basi ndani yagari tuongee kibo ! Nimekua honey? Mara kanishika kiuno huku anataka kunikumbatia khee! Nilichukiaa ilibidi nimropokee maneno makaali namachafu nikasepa zangu!

Let me make long short. Nahisi jamaa hauku mpenda, that's it.
 
kweli ati.... ili wadada wengine wamuepuke. Mimi tangu nilipoitwa Tapeli sina mzuka hata kidogo wa kujuana na mtu humu. Labda wale niliofahamiana nao uraiani then tukajuana id zetu.......
Mkuu,
Hata Preta?.,..au yeye anakuwa kept at standard Temperature and Pressure(STP)
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaah swahiba watu wengine bana.... sijui kwanini hakumPM wamalizane? Tena na namba za simu anazo angeweza kumpa kubwa tu yaishe.... Vijana wa siku hizi bana!

Ujumbe na kwa wngine wenye tabia hiyo babu!!!!!!!!
 
Hahahaaaaa.... Jamani wewe mtu fudenge ambaye tumepanga tuonane Jumamosi naomba usiniite hani wala usinishike kiuno... Hahahaa..!!

Usijali, lakini usije ukanirudisha jamvini kama alivyofanya Latifa kwa .....
 
Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa
akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali namahali nilipo ikabidi tukutane, mara phone yake ikaita kaongeaa karibia lisaa sijakaa sawa katoa ipad kaanza kubrows mambo yake heee ikabidi nimshangae hakuna maongezi mpaka hapo ee, mara samahani honey ingia basi ndani yagari tuongee kibo ! Nimekua honey? Mara kanishika kiuno huku anataka kunikumbatia khee! Nilichukiaa ilibidi nimropokee maneno makaali namachafu nikasepa zangu!

Ana ipad, ana gari, alikuwa amevaa na single botton?
huyu sio wakishua kweli.....
:behindsofa:
 
Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa
akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali namahali nilipo ikabidi tukutane, mara phone yake ikaita kaongeaa karibia lisaa sijakaa sawa katoa ipad kaanza kubrows mambo yake heee ikabidi nimshangae hakuna maongezi mpaka hapo ee, mara samahani honey ingia basi ndani yagari tuongee kibo ! Nimekua honey? Mara kanishika kiuno huku anataka kunikumbatia khee! Nilichukiaa ilibidi nimropokee maneno makaali namachafu nikasepa zangu!

Inawezekana alikuta na asiyoyatarajia... Inawezekana hulipi.....
 

heheheeeee!!ndio zao
ukikubali kuonana na mtu
japo mbadilishane mawazo mwenzio
anajua kashaua,ukimpa za uso ndio
usishangae unaanzishiwa na thread kabisaaa!!tabu kweli!!
chezea mitandao ila pole na kiuno kakushika khaaaa!!
 
hahahahahahahaha daaa nimecheka sanaaa kwa huu uzi.
 
Teh teh teh JF bhana! Humu kuna siku kaka na dada au mke na mume watapanga kuonana baada ya kuitana hani za kutosha.
 
kuna hichi kitu kinaboa sana mtu unakwenda/unapanga kukutana na mtu hata kama sio festi time, lakini mtu unakuta muda wote yupo na ubize usioisha na simu, mara msg zinaingia mfululizo yupo bize kuzijibu, mara simu zinaingia mfululizo ikikatika hii inaingia nyingine utafikiri kastama kea!
unaongea/unamsemesha maneno ishirini anajibu neno moja, kana kwamba kuonana kwenu hakutilii maananani au amedharau kuonana kwenu au ni ushamba tu, kama ni notifications si ataresponda hata baadaye au hata kama ni kuchat na kujibu msg si aweke simu pembeni kuna baadaye ataendelea kuchat !!!

heee! Sasa unataka kila sekunde awe busy nawewe kwani yupo kwenye Interview ?
 
aaaa mambo gani haya ya kuanikana humu asee. aaaagh
 
We ulibug,hvi mtu anayeshinda na kukesha jf aweza kuwa potential kwel?wengi ni losers humu watch out usipende kukutana na mijitu usiyoijua,fanya yako jf then sepa
 
Du!
Hiyo ndiyo jf nyuma ya mapazia bana.
Sasa kwanini na wewe umekuja kumchora huku bana?
Halafu mtu anakuita HANI unachukia? Unataka akuite Poison?
Hahha hhahaha daaaah mkuu hapo umetisha labda alikua anataka aitwa salt au pilipili
 
Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa
akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali namahali nilipo ikabidi tukutane, mara phone yake ikaita kaongeaa karibia lisaa sijakaa sawa katoa ipad kaanza kubrows mambo yake heee ikabidi nimshangae hakuna maongezi mpaka hapo ee, mara samahani honey ingia basi ndani yagari tuongee kibo ! Nimekua honey? Mara kanishika kiuno huku anataka kunikumbatia khee! Nilichukiaa ilibidi nimropokee maneno makaali namachafu nikasepa zangu!
Diuuhh unazali wewe kumbe umefatwa na mchizi na gari, ipad, vipi simu sio iphone 5 kweli hiyo eenhh...?swali la kizushi tu hilo inawezekana amekuona sio maana mim kny dates simu ni silent..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom