Amenibebea mimba bila ridhaa yangu

Amenibebea mimba bila ridhaa yangu

Wakati unachojolea ndani uliomba ridhaaa? Nigger plz lea mimba.... if u were responsible as u say u are mngetumia kinga..... lea mimba yako
 
Hapo pa kuhamia ndani ndipo ulipokiuka kanuni za ''probation period'' ya mapenzi. Kuchunguzana kunafanyikaga kabla hamjaamua kukaa kinyumba,mzigo ukishaingia ndani maana yake ushakuwa certified kwa matumizi ya muda mrefu.Hiyo ni implied move haina haja ya kuambiana.Na wanawake wanajua hii mbinu vilivyo akiingia ndani kwako its a wrap.

Kwa hiyo cha msingi endelea na hatua stahiki kama kujitambulisha,kulipa faini ya kufungua mzigo kabla ya kupata ridhaa ya wazazi(if applicable) nk. Wanadamu huwa tunajifunza kutokana na makosa na makosa yenyewe ndio kama hili. Just be a man and face the music. Wish you a very prosperous life with your new partner.

kuna watu wana force kaka, mtu mmetoka jion alafu anakwambia mda huu home cwez rud washafunga geti sas kidume ukalipe gesti wakat una chumba unaenda nae, mara akitoka kwenye mambo yako unamkuta kashafika na kuhusu kutumia kinga tusijidanganye demu uliewai lala nae zaid ya mara 5 tena mmekua karibu hadi anakuja kulala kwako ni rahisi sana kupiga kavu!!! tena kama yy yuko ok au anakutega makusud ufanye ivo kidume huchomoki..... mwishowe ndo haya yakulazimishana kujitambulisha!!!
 
Huo uchunguzi wenu mlianzia ANGAZA ? Sijaona mahali umeandika kama mlipima UKIMWI pamoja. Sasa ulikuwa unachunguza nini huku unapiga kavu kavu ? Weewee ni shipaaa
 
Alafu akiwa na mimba ndio joto la papuchi linaongezeka piga tu BRN walau kila siku bao 1 arrif.

Cc misschaga
 
Last edited by a moderator:
hahaha imekula kwako...ndio intellijence ya kutafuta ndo hiyo mi ishanitokea kwa ujinga wangu wa kukole akuduuuu...ila nikashtuka mpaka sasa kila mtu njia yake ila tunawasiliana kwa ajili mtoto.....bahati mbaya unagundua kuwa hamutaendana ki maisha ya ndoa after effetcts...ila before huoni hilo kwa kuwa penzi limenoga
 
kuna watu wana force kaka, mtu mmetoka jion alafu anakwambia mda huu home cwez rud washafunga geti sas kidume ukalipe gesti wakat una chumba unaenda nae, mara akitoka kwenye mambo yako unamkuta kashafika na kuhusu kutumia kinga tusijidanganye demu uliewai lala nae zaid ya mara 5 tena mmekua karibu hadi anakuja kulala kwako ni rahisi sana kupiga kavu!!! tena kama yy yuko ok au anakutega makusud ufanye ivo kidume huchomoki..... mwishowe ndo haya yakulazimishana kujitambulisha!!!

Nimekuelewa mkuu bona .Lakini nachoona ni kwamba akilini mwako umeshatengeneza circumstances zote za kufeli kwa hiyo unapojikuta kwenye hali ulizotaja hapo juu haufikiri tena kuhusu plan B since tayari una default reactions. Failing to plan is as good as planning to fail.

Kwa kila hali uliyoweka hapo juu kuna namna ya kuikabili successfully kama kweli unataka kushinda mtego. Hapo ndio tunapotofautiana level ya ukomavu wa kukabiliana na life challenges. Sikuzote tunapaswa kufikiri kabla ya kutenda. Pia after you make one move don't just end up there,think 2 or 3 moves ahead.

Mfano:
Mosi-Wakati mnapanga kutoka usiniambie kwamba haukuwa na saa au simu kujua ni muda gani mtatoka na muda gani utamrudisha kwao kwa hiyo ulikuwa unaenda na matukio bila kujali muda na ulikuwa unaiona hii kama opportunity ya kula mzigo(you failed to plan)

Pili-Wakati unapanga kumtoa out haukufikiria gharama za dharura ambazo zingejitokeza endapo mngechelewa labda kwa sababu zilizo nje ya uwezo wenu.Hiyo ni kwa sababu ulijua tayari kwamba una ghetto(you planned to fail)

Tatu-Umesha-generalize kwamba kila mtu akishalala na mwanamke zaidi ya mara 5 basi hatumii kinga tena(sio kweli). Kwa hiyo hata huyo fiancee wako akisema yupo kwenye 'danger zone' wewe tayari una pre-conceived theory(5+ times no condoms) hence mimba(you let the smaller head out-think your bigger head)

Basi ni wazi ''kidume'' hauchomoki katika hali zote hizo. Sikulaumu ila damu ikipunguza rate ya kuchemka utajua namna ya kudeal na haya mambo.
 
Last edited by a moderator:
Bila ridhaa yako.....? Umeshakwenda kumfungulia mashitaka....???
 
Ulivyofanya mapenz bila kinga ulitegemea nn jandae kuitwa baba
 
Poleehh na be a man evn once kha! yan we jambo hulitaki lakin bado unalazimishwa tu eti kulifanya! sasa hapo m'ume ndan ni nani km unashindwa kumzuia asifanye baadhi ya mambo usiyoyapenda!? au unamuogopa??
 
sikiliza mwanangu wanawake wa mjini ni wajanja mno ila usikonde fanya hivi...tafuta mwanao yoyote daktari mnapanga deal anakupa vidonge vya usingizi unamuwekea kwenye juice huyo akilala unamwita daktari alafu anamtoa mimba short n clear akizinduka unajifanya kama ujui kitu vile
 
Hahahahahaaaaa mbavu zangu iyo kitu iliwahi kunikuta aiseeee !umenikumbusha mbaliiiiiii saaaana, niliwahi pata MTU wa namna hiyo anakupitia SAA nane ucku muende club afu yuko fungi, nilichofanya nilibadili lain yang nikisikia honi ya gar naingia uvunguni ili akiingia asinikute anaambiwa nimesafiri!Sasa kwa wewe tayari anamimba yako mwambie abadilike kama hataki hamna ndoa utalea mtoto
 
Last edited by a moderator:
Kaka angu hakuna raha duniani Kama mtoto .Hutokaa ujue mpaka akizaliwa kuona mtoto wako na siwezi kukuelezea mpaka uwe nae .Halafu kwa MWANAMKE ni Jambo la miracles.unabeba mtoto na unawaza mtoto Atakuwa ok au wasiwasi.Maumivu yakuzaa mtoto Usiombe usikie mpaka upate epidural ujue umevumilia mno.Ukiwa na roho ya eti sitaki mimba na ukampiga stress mjamzito Mna stress na mtoto .Nilivyojifungua mwanangu wa kwanza mume wangu alizimia kwa furaha.Take care of a child na mama Yake .mtoto a abadilisha maisha ya mtu .I can't imagine life without my kids .Kabla sijazaa nilikuwa napiga simu kwa my mother everyday from USA huku .Nilivyozaa tu nikijitahidi Mara moja kwa mwezi ndio napiga simu .
Acha uhongo
 
Back
Top Bottom