Amenibebea mimba bila ridhaa yangu

Amenibebea mimba bila ridhaa yangu

Mi nshaona, mshkaji hana nia ya kuwa na binti. Siku zote watu hutoa excuse kwa vitu wasivyotaka hata kama excuses sio logic.
My friend kama ni draft, ndo ushapigwa TUTUSA... Cha msingi, Make the relationship btn u two work for the sake of the comin baby...
 
Unapofanya maamuzi yoyote yale ni lazima uwe tayari kukubali matokeo. Mlipoanza mahusiano yalikuwa ni maamuzi, alipohamia kwako pia yalikuwa ni maamuzi (ulimkaribisha). Hivyo kubali tu matokeo ambayo ni huo ujauzito (kama unaamini ni wako). Suala la wewe kijitambulisha ni lazima ujue unaenda kujitambulisha kama nani, baba wa mtoto au mume mtarajiwa wa binti. Ukioa kwa shinikizo utateseka maisha yako yote na utatesa na watoto bila hatia. Ushauri wangu; kaa chini na mpenzi wako, myaongee taratibu kuhusu mustakabali wenu na mnaendeleaje baada ya hii baraka iliyowatembelea. Suala la kujitambulisha kwa wazazi ni maamuzi yenu wote, huhitaji kushinikizwa.
 
Kubali mtoto na kama humpendi nenda kwao kajitambulishe kama baba wa mtoto hadi hapo utakapokuja kua tayari kua mume wa binti.

Binti akipata mimba sio lazima umuoe,kuoa na mimba ni vitu viwili tofauti. Kubali majukumu kama baba wa mtoto na sio mume kama hauko tayari kuoa. Mrudishe kwao na uhudumie mimba na mtoto.
 
alafu pia usisahau kupima DNA kujua kama mtoto ni wako kwele...usije ukaletewa mbegu za kiarabu....
wanawake wengi wanaforce mambo huwa na lao jambo...may alijua alichepuka sasa ndio anata kuharalisha mimba
 
mkuu cku nyngne kama huna malengo na mdada ucpge kavukavu salama ni jero tu
 

Hivi karibuni, tulienda bendi, masikio yangu yaliziba wiki nzima huku nikisikia miluzi kama nimekunywa ile dawa ya zamani ya quinine je, kama tunaendelea kuishi pamoja je hili haliwezi kuwa kikwazo?


a) Hajakubebea mimba makusudi wala kukutegeshea unless hujui kuwa sex bila condom husababisha mimba. It is very selfish kusema kuwa yeye afanye mahesabu ya kutega siku salama yalivyo magumu we uje upande tu na kuchochea! Dude please take some responsibility for your actions.

b) Hilo la safari is totally another issue, if you can't handle it don't go down that road
c) If you can't handle the different hobbies, u still can have a wife ila you wont have a social life full of fun. Huyo waachie wanaopenda Twanga. We have differences ila gap halitakiwi kuwa kubwa
 
Kuna haja gani ya kuendelea kumchunguza mama wa mtoto wako? Hapo ni too late. Mwanamke sura, tabia unanyoosha. Kwa kuwa kajishusha kwako, sasa una floor ya kuweza kumcontrol utakavyo. Kama hamna ngoma, kizazi anacho, ina maana huyo sio used kiivo. kwa hiyo we endelea naye tu huyo shemeji yetu... Yeye keshajitosa mazima maishani mwako. Ni wajibu wako kumpokea...
 
Tafakari sana na kufanya maamuzi sahihi,wewe unamjua vizuri sana mwenza wako anacharacters zipi.., mm binafsi niliowa mwanamke ambaye tulikuwa na tofauti nying sana kwenye mambo mengi sana, nilikuwa najipa moyo kuwa kuna siku tutamatch.., lakini haikuwa hivyo. Matokeo yake ni kwamba tuliachana. Ndoa sio jela; ndoa ni makubaliaono na kuishi kwa furaha.
 
Mwambie akurudishie mimba yako bana, ataibebaje wakati we mwenyewe hutaki, atakuwa mwizi huyo
 
Poleni, historia imeshaandika, hamwezi kuishi kwa style hiyo.
 
Ha ha ha.. Yaani wewe ulikuwa unaona raha tu ukirudi unakuta nyumba safi, kitanda kimetandikwa, chakula kiko mezani, mashine ya bure kitandani ukajiona maisha umeyakatia kona eeeh..! Bure aghali ujue lol..

cc Asprin..
 
Last edited by a moderator:
Aagh!Mkuu unakuwa kama mtoto bhana!!!Ina mana hujui matokeo ya kugegedana???
 
Mbona unalialia? kwani we umejipangaje,, 'mi na buku' Buku?! ..... siafadhali hiyo hela ukanunue gazeti ujipepee...
Ewe HR, kama unajua kabisa unabuku,unauliza bodyspray,malapa,fenipanga..
Acha kutongoza kama hutaki mimba,,, lea..kama vipi tuachie sisi tukusaidie..ila itulie, sihuwezi??

hahahahahahaha duuuuuh mimba/panga/ hatarriiiii
 
Back
Top Bottom