Hivi karibuni, tulienda bendi, masikio yangu yaliziba wiki nzima huku nikisikia miluzi kama nimekunywa ile dawa ya zamani ya quinine je, kama tunaendelea kuishi pamoja je hili haliwezi kuwa kikwazo?
Mbona unalialia? kwani we umejipangaje,, 'mi na buku' Buku?! ..... siafadhali hiyo hela ukanunue gazeti ujipepee...
Ewe HR, kama unajua kabisa unabuku,unauliza bodyspray,malapa,fenipanga..
Acha kutongoza kama hutaki mimba,,, lea..kama vipi tuachie sisi tukusaidie..ila itulie, sihuwezi??