Mwanzoni mwa wiki hii mpenzi wangu aliniambia tuachane, huku akisema kwamba wala nisije nikamtafuta, au kumuomba kwamba tuonane.
Mimi nilifikiria hiyo kauli na nikamuuliza zaidi ya mara mbili, Ni kweli unataka tuachane?
Akajibu ndio tuachane,
Bhasi mimi nikamruhusu aende zake maana wakati huo ananiambia hivyo tulikua sehemu ambayo ninaishi(nimepanga).
Baada ya saa 1 moja na dakika kadhaa, ananitumia msg kwamba nimsamehe zile zilikuwa ni hasira tu.
Je, wakuu nimsamehe au nimuache kama Alivyotaka?
Mimi nilifikiria hiyo kauli na nikamuuliza zaidi ya mara mbili, Ni kweli unataka tuachane?
Akajibu ndio tuachane,
Bhasi mimi nikamruhusu aende zake maana wakati huo ananiambia hivyo tulikua sehemu ambayo ninaishi(nimepanga).
Baada ya saa 1 moja na dakika kadhaa, ananitumia msg kwamba nimsamehe zile zilikuwa ni hasira tu.
Je, wakuu nimsamehe au nimuache kama Alivyotaka?