Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Mimi niliambiwa ukiacha kazi kabla ya muda wa kustaafu ndio unapoteza ile portion aliyochangia mwajiri, kuhusu kufariki kwa kweli sikuulizia hilo.Kwani muajiri kawaambia anataka hiyo asilimia aliyokuchangia?
na vipi kama mtu akifukuzwa kazi au akaaga dunia kabla ya umri wa kustaafu fao la muajiri linarudi kwa muajiri pia?