Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja!
WanaJF katika hali ya kustaajabisha kaka yangu anayetegemea kuona mwezi August 2011 ameshindwa kuvumilia na amefikia uamuzi wa kuahirisha harusi kwa kumkuta mtarajiwa wake akiwa na KY JELLY iliyotumika kiasi kidogo iliyokuwa kwenye kipima joto cha shemeji yangu mtarajiwa! Kwa mujibu wa bro wangu anasikia kuwa KY Jelly inatumika kwenye yale mambo yetu ya mtandao wa Robo shilingi aka tIGO na hivyo anaamini shemeji yangu ndo tabia yake! Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja, naomba tumshauri huyu kaka yangu jamani tuinusuru hii ndoa tarajiwa!
WanaJF katika hali ya kustaajabisha kaka yangu anayetegemea kuona mwezi August 2011 ameshindwa kuvumilia na amefikia uamuzi wa kuahirisha harusi kwa kumkuta mtarajiwa wake akiwa na KY JELLY iliyotumika kiasi kidogo iliyokuwa kwenye kipima joto cha shemeji yangu mtarajiwa! Kwa mujibu wa bro wangu anasikia kuwa KY Jelly inatumika kwenye yale mambo yetu ya mtandao wa Robo shilingi aka tIGO na hivyo anaamini shemeji yangu ndo tabia yake! Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja, naomba tumshauri huyu kaka yangu jamani tuinusuru hii ndoa tarajiwa!
WanaJF katika hali ya kustaajabisha kaka yangu anayetegemea kuona mwezi August 2011 ameshindwa kuvumilia na amefikia uamuzi wa kuahirisha harusi kwa kumkuta mtarajiwa wake akiwa na KY JELLY iliyotumika kiasi kidogo iliyokuwa kwenye kipima joto cha shemeji yangu mtarajiwa! Kwa mujibu wa bro wangu anasikia kuwa KY Jelly inatumika kwenye yale mambo yetu ya mtandao wa Robo shilingi aka tIGO na hivyo anaamini shemeji yangu ndo tabia yake! Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja, naomba tumshauri huyu kaka yangu jamani tuinusuru hii ndoa tarajiwa!
KY Jelly ni lubricant maalum inayo2mika kulainisha uke kama kunafanyika uchunguz unaohitaji kuingiza mkono au chombo chochote. Inawezekana huyo dada alikuwa na tatizo.
Kama brother wako hajui kumtayarisha mwanamke vizuri, inabidi mwanmke atumie KY kupata lubrication. Ukute hiyo KY ilikuwa kwa ajili ya kaka yako. Unless kaka yako alikuwa amchakachui bibi harusi mtarajiwa.
Usihitimishe jambo kabla ya kulifanyia tafakuri ya kina. Hiyo jelly inatumiwa na wanawake kwa malengo mbalimbali. Nisingependa nitaje hapa lakini inawezekana mtarajiwa wa kaka yako alikuwa na shida nyingine zaidi ya hiyo ya kutigokiwa.
Mkuu uamuzi alochukua bro wako niwa busara kabisa... sababu huo aloukuta ni uthibitisho kuwa shemeji yako ni mtumiaji mzuri wa mtandao na jinsi bongo ilivochafuka kwa matumizi ya huo mtandao yaani hakuna ubishi na hilo....:decision:
Yawezekana ilikuwa kwa ajili ya matibabu