Chopeko hayo ndiyo malimwengu jana niliandika kuhusu hawa watu ambao wanasabibisha mvua kutokunyesha na ikinyesha ni mafuriko. Hebu fikiria kwaakili ya kawaida anataka nn kama sio laana ya kwao inamsumbua? Wachungaji na Maustadhi wana kazi kubwa saaaana.
kumbe hilo dubwana likiwasha linasumbuaee.