Amejichora alama za X mapajani

Amejichora alama za X mapajani

Kifupi unahitaji maombi. Watoto wa hostel unatafuna,wake za watu unatafuna tu,na chips funga pia unakula. Hivi ni sifa?
 
Wanajamvi juzikati nilikuwa arusha mitaa ya kaloleni pale mrina bar nikakutana na kitu cha ajabu sana. Ni lidada lililo jaaliwa, nikalipia huduma , sasa tulipofika uwanjani nikakuta limejichora alama ya X kwenye mapaja yote mawili, sikujali sana tukaendelea na starehe (nilitumia kinga) sasa sijajua mpaka leo zile alama zina maana gani, nijuzeni wakuu.

Wewe ndio umelala nae,wewe ndio umeona hizo X sasa sisi tukujuze nini??!! Unajua nyinyi watu wengine mnapenda kutuvuruga weekend hizi!!!!! @#*&&!@#' wee!
 
Lazima ni lile lidada la pale Bright Guest house.........aisee.......
 
Kuna lidada hapo ukilala nalo hata ukitumia kinga lazima upate ngoma...
 
Atakua alikua judge wa X factors huyo!
 
Wanajamvi juzikati nilikuwa arusha mitaa ya kaloleni pale mrina bar nikakutana na kitu cha ajabu sana. Ni lidada lililo jaaliwa, nikalipia huduma , sasa tulipofika uwanjani nikakuta limejichora alama ya X kwenye mapaja yote mawili, sikujali sana tukaendelea na starehe (nilitumia kinga) sasa sijajua mpaka leo zile alama zina maana gani, nijuzeni wakuu.

Mwabudu shetani huyo na hiyo ni mihuri ya shetani
 
Huko shuleni wakati ukisoma ulipokua ukiwekewa alama ya "X" ulikua unaelewa maana yake nyoko wewe?
 
Kuna lidada hapo ukilala nalo hata ukitumia kinga lazima upate ngoma...

Kama unalifahamu mkuu limejaaliwa kama jamaaa anavyosema.sema hizo X sjui kazichora lini.
 
Sasa unatuuliza sisi tutajuaje????

Anyway mpango wa hostel kukodisha madenti ukoje???
 
Zuma kisha sema if you can not read between the lines then you should be able to read between the thighs'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom