Amefanya utapeli michango ya msiba

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Sep 30, 2015
1,526
3,802
Hili swala nimekuwa nikilisikia, sijawahi kulishuhudia hata siku moja lakini leo nimeliona.

Mwezi kama mmoja uliopita kuna jamaa yetu alifariki, huyu jamaa tulisoma nae shule sekondari mkoani Mbeya. Inaitwa Meta Sekondari

Sisi tukaona tuchange rambirambi kumfariji mke wa marehemu. Kwa uwezo wetu tulionao na idadi ndogo iliyopo kilipatikana kiasi cha sh 81,000 tu (Yaani elfu themanini na moja tu).

Tukamuomba mmoja wetu awasilishe kwa mke wa marehemu. Huyu jamaa ni mtu ambaye alikuwa karibu sana na marehemu, amewahi kuishi pamoja na marehemu. Tunaweza kusema walikuwa kama ndugu kabisa, huyu tapeli tumuite Gabriel Amos

Wiki kadhaa baada ya kumpa kiasi hicho cha fedha bwana Gabriel, aliulizwa kwenye group kama aliwasilisha mchango. Jibu lake lilikuwa, mchango nilishampa mke wake na amewashukuru sana. Basi tukafurahi, hilo likapita

Sasa hii leo kuna mdau kampigia simu mke wa marehemu (walikuwa wanafahamiana). Akampa pole kisha akamshauri awe added kwenye group ashukuru kisha atoelewe. Shemeji, akasema ashukuru kivipi? Akaambiwa kuhusu michango akasema, mbona hajapokea mchango wowote.

Basi ikawa taflani kwenye group, aliyekula mchango wa msiba anasemwa hatari. Akasema labda alikosea namba wakati anatuma, alipoulizwa mbona ulisema mke wa marehemu alishukuru sana inakuaje sasahivi umeseme ulikosea namba. Akawa hana majibu, ikabidi arudishe ile pesa kwa aibu kubwa sana.

Napenda kuwaambia, kuna watu hawana aibu hata michango ya msiba wanakula. Kuweni makini, ndugu Gabriel Amos uliyemaliza Meta Sekondari huko Mbeya mwaka 2007 aibu iwe juu yako. Huwezi kula pesa ya msiba wa rafiki yako, rafiki yako wa karibu mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni mshenzi. Atakuwa alipokuwa anasoma Meta alipanga gheto Mabatini.

Uhuni wa Mabatini anauleta hadi misibani..
Hili swala nimekuwa nikilisikia, sijawahi kulishuhudia hata siku moja lakini leo nimeliona.

Mwezi kama mmoja uliopita kuna jamaa yetu alifariki, huyu jamaa tulisoma nae shule sekondari mkoani Mbeya. Inaitwa Meta Sekondari

Sisi tukaona tuchange rambirambi kumfariji mke wa marehemu. Kwa uwezo wetu tulionao na idadi ndogo iliyopo kilipatikana kiasi cha sh 81,000 tu (Yaani elfu themanini na moja tu).

Tukamuomba mmoja wetu awasilishe kwa mke wa marehemu. Huyu jamaa ni mtu ambaye alikuwa karibu sana na marehemu, amewahi kuishi pamoja na marehemu. Tunaweza kusema walikuwa kama ndugu kabisa, huyu tapeli tumuite Gabriel Amos

Wiki kadhaa baada ya kumpa kiasi hicho cha fedha bwana Gabriel, aliulizwa kwenye group kama aliwasilisha mchango. Jibu lake lilikuwa, mchango nilishampa mke wake na amewashukuru sana. Basi tukafurahi, hilo likapita

Sasa hii leo kuna mdau kampigia simu mke wa marehemu (walikuwa wanafahamiana). Akampa pole kisha akamshauri awe added kwenye group ashukuru kisha atoelewe. Shemeji, akasema ashukuru kivipi? Akaambiwa kuhusu michango akasema, mbona hajapokea mchango wowote.

Basi ikawa taflani kwenye group, aliyekula mchango wa msiba anasemwa hatari. Akasema labda alikosea namba wakati anatuma, alipoulizwa mbona ulisema mke wa marehemu alishukuru sana inakuaje sasahivi umeseme ulikosea namba. Akawa hana majibu, ikabidi arudishe ile pesa kwa aibu kubwa sana.

Napenda kuwaambia, kuna watu hawana aibu hata michango ya msiba wanakula. Kuweni makini, ndugu Gabriel Amos uliyemaliza Meta Sekondari huko Mbeya mwaka 2007 aibu iwe juu yako. Huwezi kula pesa ya msiba wa rafiki yako, rafiki yako wa karibu mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukute hapo alimsingizia shetan, kuna mda shetan hua namhurumia kweli yaani anabeba mizgo hata icyo yake
 
Hili swala nimekuwa nikilisikia, sijawahi kulishuhudia hata siku moja lakini leo nimeliona.

Mwezi kama mmoja uliopita kuna jamaa yetu alifariki, huyu jamaa tulisoma nae shule sekondari mkoani Mbeya. Inaitwa Meta Sekondari

Sisi tukaona tuchange rambirambi kumfariji mke wa marehemu. Kwa uwezo wetu tulionao na idadi ndogo iliyopo kilipatikana kiasi cha sh 81,000 tu (Yaani elfu themanini na moja tu).

Tukamuomba mmoja wetu awasilishe kwa mke wa marehemu. Huyu jamaa ni mtu ambaye alikuwa karibu sana na marehemu, amewahi kuishi pamoja na marehemu. Tunaweza kusema walikuwa kama ndugu kabisa, huyu tapeli tumuite Gabriel Amos

Wiki kadhaa baada ya kumpa kiasi hicho cha fedha bwana Gabriel, aliulizwa kwenye group kama aliwasilisha mchango. Jibu lake lilikuwa, mchango nilishampa mke wake na amewashukuru sana. Basi tukafurahi, hilo likapita

Sasa hii leo kuna mdau kampigia simu mke wa marehemu (walikuwa wanafahamiana). Akampa pole kisha akamshauri awe added kwenye group ashukuru kisha atoelewe. Shemeji, akasema ashukuru kivipi? Akaambiwa kuhusu michango akasema, mbona hajapokea mchango wowote.

Basi ikawa taflani kwenye group, aliyekula mchango wa msiba anasemwa hatari. Akasema labda alikosea namba wakati anatuma, alipoulizwa mbona ulisema mke wa marehemu alishukuru sana inakuaje sasahivi umeseme ulikosea namba. Akawa hana majibu, ikabidi arudishe ile pesa kwa aibu kubwa sana.

Napenda kuwaambia, kuna watu hawana aibu hata michango ya msiba wanakula. Kuweni makini, ndugu Gabriel Amos uliyemaliza Meta Sekondari huko Mbeya mwaka 2007 aibu iwe juu yako. Huwezi kula pesa ya msiba wa rafiki yako, rafiki yako wa karibu mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume mnachanga 81,000 na wala si angalau 810,000! Wakati huo huo mtu mmoja anaacha 7,800 na anaona ndogo! JF kuna watu wa ajabu
 
Hongera zako wewe mwenye pesa, ila nakukumbusha tu kwamba hata Mr Nice alikuwa nazo tena zaidi ya zako na alikuwa anazibeba kwenye buti ya gari
Wanaume mnachanga 81,000 na wala si angalau 810,000! Wakati huo huo mtu mmoja anaacha 7,800 na anaona ndogo! JF kuna watu wa ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona Bwana Gabriel Amos namba yake ya mtihani ilikuwa S0443/0210. Huyu jamaa ni zaidi ya kiazi. Nadhani kuna kuna haja ya kuongeza ushirikiano maana naona darasa lenu mlikuwa wengi mno yapata watu 328. Mkuu je ninani aliyefikwa na mauti katika orodha hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera zako wewe mwenye pesa, ila nakukumbusha tu kwamba hata Mr Nice alikuwa nazo tena zaidi ya zako na alikuwa anazibeba kwenye buti ya gari

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ubahili na kujifanya matawi ya juu hapa! Ulimla shemeji yako kwa kuangalia movie katika laptops! Imagine watu zaidi ya 20 kuchanga 81,000 it’s a shame! Hivi mlitaka anunue nini na 81,000, beside mnataka awashukuru! Unajua atatumia kiasi gani kuweka kifurushi cha internet! Think out of box. Mambo mengine acha kuyaleta hadharani
 
Yaani kama nilikjwa nimetoa alafu ikatokea hivyo ikarudishwa napokea mchango wangu naweka mfukoni sitoi tena
 
Mtoa mada, kuna mahali umeandika ulimla shemeji yako mwaka 2003, tarehe nane mwezi February. Hapa umeenda meta miaka ya 2007. Unaweza kufafanua ili wajumbe tukuelewe?
 
Mtoa mada, kuna mahali umeandika ulimla shemeji yako mwaka 2003, tarehe nane mwezi February. Hapa umeenda meta miaka ya 2007. Unaweza kufafanua ili wajumbe tukuelewe?
Huyu mtoa mada mpuuzi sana ati wasomi wanachanga 81,000 na bado wanadai wapewe shukrani. Hiyo hela mjane anunue nini? Je, kila mmoja amechanga 200? Mwongo sana ndo maana anatoa upupu kama sifa kula shemeji yake! Hajui kinachoua undugu ni pesa na K tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom