SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,562
Huyu jamaa anachekeshaMke kuchora tattoo eti anazipenda??? 🤔🤔🤔🤔
Huyu jamaa anachekeshaMke kuchora tattoo eti anazipenda??? 🤔🤔🤔🤔
Akichora tatoo vaa condom 5
Mke mtarajiwa hawezi kuwa changu?Tuheshimiane. Changu kivipi wakati ni mke wangu mtarajiwa?
Jamaa hana kauli, inavyoonesha ni vitu hapendi ila anakubaliana navyo tu kishingo upandeHuyu jamaa anachekesha
Hivi wewe unajuaje ulizaliwa na changu Kwa maana unaongea kama mama Yako ni mtakatifu heshimu wanawake ndio hao unawanyea wanakuosha wanakuuguza ukiugua Sasa hizo mambo chafu mnatoaga wapi sijui kwanini mnakeraga sana na moderators wanakubali kutoa comments za wapuuzi .Umezalisha changu R.i.p in advance 😑
Hizo ni signs za beta male au weak male Sema atajijua mbele ya safariJamaa hana kauli, inavyoonesha ni vitu hapendi ila anakubaliana navyo tu kishingo upande
Yaani hii mimbwa inajiona ndio imefika humu Kisa hawaonekani wananikera wao huenda mwisho tu wa kitu nakutukana watu wazima wake za watu watoto kila mmoja hadi kerooTuheshimiane. Changu kivipi wakati ni mke wangu mtarajiwa?
Nilimkuta nazoWakat mnaanza mahusiano ulimkuta na hizo tattoo au kaanza kizipendea kwako??
HakikaAngechora kiunoni isingeleta tatizo
Ni mke wangu mtarajiwa na ana mimba yangu mkuuAkichora tatoo vaa condom 5
Sio kauli ukitaka waachane Kisa tatu ,??Jamaa hana kauli, inavyoonesha ni vitu hapendi ila anakubaliana navyo tu kishingo upande
Hebu mwambie apige picha akiwa wazi kifuani mpaka kwenye tattoo ndio tutaweza kukupa ushauri mzuriWanajamvi hamjambo?
Huyu mchumba wangu ambaye ni mjamzito mpaka sasa aliniomba anichore begani kwake ila nikakataa
Kwa hasira nafikiri za mimba changa, amechora ua hilo hapo begani.
Anapenda tattoos sana na hili haliwezi sababisha iniletee shida kwenye kubadili dini?
Na hajali maneno yeye anaangalia amani ya moyo wake.
Nimesikia tattoos hazikubaliki kidini wala kwenye mazingira ya mtaani hasa kwa jamii iliyostaarabika.
Naanza vipi kumuambia shida tutakayoipata wakimuona ma ustaadh kwenye hali hiyo?
Na ujauzito je hauwezi pata changamoto kutokana na tattoo?View attachment 2493804
Mnanitisha au?Uzi uishie hapa mkuu na asipo chapiwa nipo pale
Mimba jeHebu mwambie apige picha akiwa wazi kifuani mpaka kwenye tattoo ndio tutaweza kukupa ushauri mzuri
Sijakuelewakinyamkela na Mahaba ya maua. Unampa maua amekuwa nyuki?
JK
![]()
Ni ngumu sanaMke mtarajiwa hawezi kuwa changu?
Wanajamvi hamjambo?
Huyu mchumba wangu ambaye ni mjamzito mpaka sasa aliniomba anichore begani kwake ila nikakataa
Kwa hasira nafikiri za mimba changa, amechora ua hilo hapo begani.
Anapenda tattoos sana na hili haliwezi sababisha iniletee shida kwenye kubadili dini?
Na hajali maneno yeye anaangalia amani ya moyo wake.
Nimesikia tattoos hazikubaliki kidini wala kwenye mazingira ya mtaani hasa kwa jamii iliyostaarabika.
Naanza vipi kumuambia shida tutakayoipata wakimuona ma ustaadh kwenye hali hiyo?
Na ujauzito je hauwezi pata changamoto kutokana na tattoo?View attachment 2493804
NashukuruHizo ni signs za beta male au weak male Sema atajijua mbele ya safari
Basi mwambie apige kuanzia kitovuni mpaka juu kichwani ila tattoo lazima ionekaneMimba je