Amechora tattoo begani ya ua nililomnunulia

Amechora tattoo begani ya ua nililomnunulia

Wanajamvi hamjambo?
Huyu mchumba wangu ambaye ni mjamzito mpaka sasa aliniomba anichore begani kwake ila nikakataa

Kwa hasira nafikiri za mimba changa, amechora ua hilo hapo begani.

Anapenda tattoos sana na hili haliwezi sababisha iniletee shida kwenye kubadili dini?

Na hajali maneno yeye anaangalia amani ya moyo wake.

Nimesikia tattoos hazikubaliki kidini wala kwenye mazingira ya mtaani hasa kwa jamii iliyostaarabika.

Naanza vipi kumuambia shida tutakayoipata wakimuona ma ustaadh kwenye hali hiyo?

Na ujauzito je hauwezi pata changamoto kutokana na tattoo?View attachment 2493804
Jitafutie gono.
 
Aise umekoleaje kwenye mahaba na huyo mpenda tatoo kama id yako vile
 
Hebu mwambie apige picha akiwa wazi kifuani mpaka kwenye tattoo ndio tutaweza kukupa ushauri mzuri

Sikioni ana matobo mengi angalia picha, tattoo endelea mwenyewe, ila mwana kapenda barida tukaushe tuu.
 
Hapo unaposema maustadh na kubadili dini, una maanisha mmefikia unataka kumsilimisha sio?

Anyway wenye tattoo nao ni watu kama wengine, kwa kua mkuu umependa barida, usikilize maneno hapa ni kijiweni kijiwe cha digital.

Akitaka tattoo achore tuu muhimu moyo unapenda, hata maustadhi wakiiona sio kesi, cha msingi mpate elimu ya katazo lake lina maana gani ili muogope katazo kwa misingi ya imani sio muogipe ma ustadh.
Kila la kheri
 
Back
Top Bottom