Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
haya wana JF Crispin, Fidel, na wengine haya sasa mshindwe nyinyi
Nani kakwambia mume hatakutenda?!
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
Mmh hapa JF wachumba wapo kweli
aliyekuwa amebaki kaoa juzi juzi Geoff ,,Fidel anasomea upadiri .
all ze best mdada !
Mjukuu taratibu. Ngoja nimalizane na bibi yako mtarajiwa.
Mmh hapa JF wachumba wapo kweli
aliyekuwa amebaki kaoa juzi juzi Geoff ,,Fidel anasomea upadiri .
all ze best mdada !
umri wa miaka 23 na kishatendwa mpalka kachoka????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hajatulia huyu, inaonekana hata shule alishindwa kuendelea kwa sababu ya majamboz...........................................
nitakuja baadaye lakini mie sijaona mchumba aliyetulia hapo!!!!!!!!!!!!!11
nimempa ziro kaisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ndiyo raha ya utani wa babu na mjukuu. Si unajua ng'ombe hazeeki maini?Opss babu sikujua kuwa na wewe umo katika ligi. Haya nafumba masikio sioni na wala bibi yangu sitamwambia!!
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
Huyo yupo kikazi zaidi ama nini? kaanika kabisa na namba zake za simu. Zimesajiliwa tayari?
Kuna mmoja aliwahi kutoa namba za simu hapa akaja kulalamikia usumbufu...nina wasi wasi na hili kutokea tena
Dah hivi nimechelewa au nimewahi ngoja nivute uzi nizibe nafasi.
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.