Amechoka kunivumilia anataka kuniacha!

Amechoka kunivumilia anataka kuniacha!

Huyo kuna mtu anamdanganya. Kwani uhusiano wenu unamzuia kufanya shughuli zake?
 
Daaah hapo umepewa nafas ya kutafuta tunda jingine mwache aende badae usijejuta

Ila utaumia sana huu ni ugonjwa cjui utakuchukua mda gan kupona
 
hakukupenda kabisa angekua amekupenda asingekuacha kipindi hiki cha matatizo huna kazi

mwache aende mkuu kama ametaka kuondoka Mungu atakulipia ukimlazimisha sana atakufanyia vituko sana
 
Pole sana...

Ushajua tatizo ni uchumi na hali yako kuwa siyo nzuri...
Tafuta pesa kwanza, jiimarishe kiuchumi atarudi tu na maisha yataendelea kama kawaida... Ni upepo utapita...


Cc: mahondaw
 
mapenzi ya siku hizi tabu kweli....wanawake siku hizi sijui kwa nini wanakosa uvumilivu
 
mapenzi ya siku hizi tabu kweli....wanawake siku hizi sijui kwa nini wanakosa uvumilivu
Si wanawake tu hata wanaume wapo wengi tu, kaoa muda ana amua kujiendelea unavumilia akisha anza kupata kipato kikubwa ana anza usumbufu na kuona mke sio na kuanza dharau bila kumdhamini hivyo hilo tatizo lipo pande zote na michepuko inaongezeka
 
Back
Top Bottom