Amebadilika sana, nikimuuliza anasema yupo bize

Amebadilika sana, nikimuuliza anasema yupo bize

ragin

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,391
Reaction score
9,386
Habarini!

Naomba mnisaidie kwa hili jambo,nina boyfriend namheshimu nakumpenda sana nae ananipenda sana.Tatizo linaloniumiza kichwa huyu mwenzangu kama wiki mbili / tatu ivi amechange sana.

Hapigi simu, wala hatext msg ni mpaka nianze mimi si ivo tu hata mambo mengine tunaweza kujadili yakaishia hapohapo na hata nikitaka jinsi ya kuanza kumshauri namna ya kuweka maandalizi ya familia na mengineyo nakosa the way to start talking acording to his silent.

Na endapo nikikausha kama wiki ivi nae anakuwa kimya kupitiliza, usiku ataiona msg yangu kama ni usiku sana ataizima simu yake mpaka kesho yake saa sita/tano asubuhi napo hajibu mpaka nimtext papo hapo, nikimuuliza kwanini mambo yanachange sana anadai yupo busy na akiwa free ndo anajipumzisha yani anakuwa amechoka sana.

Nikiomba tuonane yaani hapo ndo haitabiriki/ uwezekano mdogo sana wa kuonana it means hatuwezi onana,ifahamike tupo mikoa tofauti kumiss kupo kwingi sana even face to face, sasa sijielewi jamani nianze kushuka taratibu nijitoe au tu nifanyaje maana naogopa kukuza mapenzi yakomae alafu nikaachwe hapo baadae.

Mbaya zaidi nimetoka kwa watu wawili wa nyuma nao waliniumiza sana adi sasa hivi nakuwa mguu mmoja nje mwingine ndani kwa kuogopa kujeruhiwa nisaidieni kwani nimefikia maamuzi magumu ya kuishi single life mpaka pale parapanda itapolia, ushauri wako utaniweka pazuri.

Asanteni
 
Mbaya zaidi nimetoka kwa watu wawili wa nyuma nao waliniumiza sana adi sasa hivi nakuwa mguu mmoja nje mwingine ndani kwa kuogopa kujeruhiwa nisaidien kwani nimefikia maamuzi magumu ya kuishi single life mpaka pale parapanda itapolia, ushauri wako utaniweka pazuri.

Asanteni,,,!!..

Sasa hapa unataka ushauri upi??
 
Hvi haya mapenzi yapo kweli du! nilikuwa na demu kila baada ya dk 2 natuma msg ya kumjulia hali nilikuwa nampenda sana nilikuja kupigwa chini vibaya sana! nikimwona mwanamke namwona kama mwanaume mwenzangu!! leo nimekutana na kitu cha ajabu kuwa mwanamke ndiyo anaebembeleza mwanaume mwangalie mwenendo wake na usimtumie msg halafu uangalie mwisho wake, ujitadhini chukua hatua
 
Pole kwa Unayopitia.. I know hw t feels lyk..

I've been there Before kweli ts Hurt sana hasa kwa Mtu unaempenda kukufanyia hivyo kukuignore. Changamoto kwa Uchache 1)kuchokana/kuzoeana 2)Umbali/Distance 3)Ubize 4) kapata Mwingine. Nk.

Ushari: first..Relax n Stay Calm, kwenye Mapenzi Kuna hali ya kuzoeana kupita kiasi hii inapelekea kuchokana.. Hii ni Hali
Ya kawaida sana Kutokea katika Mapenzi. Na hii inatokana na Wapenzi kukaa Muda Mrefu kwenye Mahusiano cjajua (mmekaa Muda gani) pia ukosefu wa Ubunifu inapelekea hali hii.

Jaribu kukaa chini kujitafakari toka Mlipotoka utapata jibu sahihi.. Kama ni kuzoeana mjaribu kupeana Space(Muda) kidogo, Pia Jaribu kuwa m'bunifu kuboresha Mahusiano yenu( change the way mmezoea kuchat/kuasiliana ect) 2) umbali Long Distance inaua Mahusiano Sometimes.

Mjaribu kutembeleana Mara kwa Mara kama yeye haji kwako nenda kwake.. Jus (cheza part yako effectively) ili likitokea lolote Usije ukajilaumu au kulaumiwa kwa kutowajibika kwa r'ship yako ipasavyo. Atalaumiwa na kujilaumu yeye kwa kushindwa kuwajibika.

3) Ubize maybe ts true MPE Muda na tafuta Muda Ukaenae Umuweke wazi kabadilika coz if U truly Love Someone no matter hw busy U r, U 'll alwayz find a tym kwa Mpenzi Wako. So Mwambie Usimfiche na Umpe muda Atachange.

4) kapata Mwngine.. Hii siipendi sana coz in a R'ship hutakiwi kuwa na Negative thoughts Mara nyingi zinaua Mahusiano jaribu kumchunguza kidogo ili kuhakikisha kama unamawazo hayo. Pia jaribu kufanya hvyo kama unaweza kama huwezi kumchunguza.

Tulia Ondoa negative thoughts kabisa n stay focused. Muombe Mungu Aponye Mahusiano yako. Sorry nmeandika kwakirefu kwa faida ya wasomaji wengine ndio maana cjaja PM.

Hapo ni kwa kifupi tu.
 
Fanya Maamuzi Magumu Kumbuka Ngoja Ngoja Iliacha Mto Ukajaa Maji Nawe Ukashindwa Kuvuka
Utangoja Mwisho Mimba Halafu Ujilaumu
 
Mkuu yapo sana na huwa inawakatisha tamaa sana watu endapo ukikumbwa na usaliti mara moja au mbili ndio hupelekea kwa kutokuamin kam kuna kitu kinaitwa mapenzi kipo duniani
Hvi haya mapenzi yapo kweli du! nilikuwa na demu kila baada ya dk 2 natuma msg ya kumjulia hali nilikuwa nampenda sana nilikuja kupigwa chini vibaya sana! nikimwona mwanamke namwona kama mwanaume mwenzangu!! leo nimekutana na kitu cha ajabu kuwa mwanamke ndiyo anaebembeleza mwanaume mwangalie mwenendo wake na usimtumie msg halafu uangalie mwisho wake, ujitadhini chukua hatua

asante kwa ushauri wako mkuu be blessed!
 
Kusoma hujui hata picha huioni hata kama yupo busy vipi ILA lazima awe na mda japo lisaa kuwasiliana na weee stuka Kuna mwenzio anamkeep busy
 
Subiri mpaka akutafute yeye. Kumbuka nyie ni wapenzi tu.mwenzio tayari ana wake wa maisha.
Halo kimbia kabla hujatamkiwa kuachwa utaumia zaidi.
 
Mkuu asante sana nimekuelewa nitajitafakari vema,
ila mahusiano yetu hata miez 6 bado, na kama ubize ivi inakuaje umeshinda kutwa nzima ata usiku unarudi nyumbani na kunitakia hata gud night unashindwa? Na swala la umbali na kiri kweli litani affect kabisa!
Wise Person
 
Last edited by a moderator:
Pole, kwa kweli mapenzi/mahusiano ya mbali ni mtihani sana.

Lakini huenda wewe unawaza kujenga familia mwenzio yeye kakuweka kwenye just a friend zone....
 
Nimekuelewa mkuu nashukuru
Fanya Maamuzi Magumu Kumbuka Ngoja Ngoja Iliacha Mto Ukajaa Maji Nawe Ukashindwa Kuvuka
Utangoja Mwisho Mimba Halafu Ujilaumu
 
Back
Top Bottom