nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Wakuu kijana wenu nimekwama.
Mwaka Jana mwanzoni nilimpa ujauzito mdada ambaye tulikuwa kwenye mahusiano Ila hayakuwa serious.
So Yule Dada alikuja kupata ujauzito na nikamwambia asitoe nitalea maana nilijiwekea nadhiri ya mwanamke kutotoa ujauzito wangu.
Kiukweli mambo hayakuenda rahisi kama nilivyotarajia Ila nilipambana kadri ya uwezo wangu kuhakikisha namlea mwanamke huyo kwa dhati na nikaanza kuishi nae pamoja.
Nilimfungulia biashara ,na Mimi nikaendelea na kazi ya mkataba.
Kufupisha stori mwanamke alipokaribia kujifungua nikaenda kwao kutoa barua nikapangiwa mahali nikahaidi kutoa na nyumbani wakaendelea kunipa sapoti ya kukubaliana na hali.
Mwanamke amejifungua Ila kiuhalisia ameanza kuwa real tofauti na mwanzo nilivyomuona dharau,kuburi,majibu ya ovyo ,kununa muda wore.
Kiukweli mwanzo nilijua changamoto za kulea Ila naona mambo ni yaleyale sasa mtoto Ana miezi 10.
Kiukweli kama kijana ambaye hata sijafika miaka 30 nimekuwa nikiumia na hizi tabia maana huko nje nafurahia maisha kuliko hata nikiwa na Yeye.
Sioni Future nimewaza nimewazua ..
Nataka nikalipe mahali tu.
Kuhusu KUOA ASAHAU.
Vituko vinavyoendelea naona bora tulee watoto.
Maana Sioni kama nitaenda kuufurahia Moto unaokuja mbele yangu.
Japo namuonea huruma sana mwanangu
Mwaka Jana mwanzoni nilimpa ujauzito mdada ambaye tulikuwa kwenye mahusiano Ila hayakuwa serious.
So Yule Dada alikuja kupata ujauzito na nikamwambia asitoe nitalea maana nilijiwekea nadhiri ya mwanamke kutotoa ujauzito wangu.
Kiukweli mambo hayakuenda rahisi kama nilivyotarajia Ila nilipambana kadri ya uwezo wangu kuhakikisha namlea mwanamke huyo kwa dhati na nikaanza kuishi nae pamoja.
Nilimfungulia biashara ,na Mimi nikaendelea na kazi ya mkataba.
Kufupisha stori mwanamke alipokaribia kujifungua nikaenda kwao kutoa barua nikapangiwa mahali nikahaidi kutoa na nyumbani wakaendelea kunipa sapoti ya kukubaliana na hali.
Mwanamke amejifungua Ila kiuhalisia ameanza kuwa real tofauti na mwanzo nilivyomuona dharau,kuburi,majibu ya ovyo ,kununa muda wore.
Kiukweli mwanzo nilijua changamoto za kulea Ila naona mambo ni yaleyale sasa mtoto Ana miezi 10.
Kiukweli kama kijana ambaye hata sijafika miaka 30 nimekuwa nikiumia na hizi tabia maana huko nje nafurahia maisha kuliko hata nikiwa na Yeye.
Sioni Future nimewaza nimewazua ..
Nataka nikalipe mahali tu.
Kuhusu KUOA ASAHAU.
Vituko vinavyoendelea naona bora tulee watoto.
Maana Sioni kama nitaenda kuufurahia Moto unaokuja mbele yangu.
Japo namuonea huruma sana mwanangu