Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,267
Moyo umeacha kuuma??Mmh kawaida sana tu!Nko poa vipi maisha mapya na Rev?
Moyo umeacha kuuma??Mmh kawaida sana tu!Nko poa vipi maisha mapya na Rev?
Moyo umeacha kuuma??Mmh kawaida sana tu!
Hahahaha!Muite kwa sauti!Labda hajakuskia...alafu anza kwakumhonga maThanks!Jana nilikuwa hovyo sana, halafu kama balaa vile hata sijibiwi post zangu na huyu dada michelle, unajua maumbo yenu na ragi mnafanana sana nataka nihamishie majeshi huko.
Hahahaha!Muite kwa sauti!Labda hajakuskia...alafu anza kwakumhonga maThanks!
ngoja nimtafute!!! Ndoa za sikuhizi kiboko nasikia tayari unavaa tenite!!!?
Hahahahahaha!Wambea tu hao!Mara hii labda kama ilikuwepo kabla!
Hapana bwana!!Safi hiyo...muimbishe alafu unipe feedback!Kwa waumini wengine hii ya ujauzito ni common, nilikuwa na mshangao kwa mchungaji! Michelle nimempata nimemshukia mistari nasubiri nione response kama itakuwepo this time.
Hapana bwana!!Safi hiyo...muimbishe alafu unipe feedback!
Mmmh we kila kitu unasolve na funda?Haifai hiyo!Nikupe pacha wangu?Hatufanani lakini!Ishu inazidi kuni changanya, bado ha respond! Ngoja ni nipige funda moja akiliikae sawa... she is very hard angalau anijibu nijue moja, lakini huu mwaka nimeanza vibaya
mapenzi yameshachuja