Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Alisema hivyo maana unachakata papuchi zao na kuwaacha
hahahhahaha.mkuu nipo kwenye dala dala now.lakini umeniumbua mana nimecheka kifala


PoleeUnapenda ukapera
Siwachakati na kuwaacha bali huwa Tunachakatana na KuachanaAlisema hivyo maana unachakata papuchi zao na kuwaacha
Sasa huyo kaweka kambi
Kwako lasivyo atakuoa yeye
mkuu cm ilizmaa asee.ndo mana sikureply koment yako
Anakuandalia mchezo unaitwa "The hell in a cell"!Hautotoka hadi mmoja aende akaongoze malaika mbinguni.Niamini mimi!Huyu binti simuelewi, baada ya kunikasilikia juzi nilipogoma kwenda kulala kwake,
Jana kaja night kwangu, baada ya mchakato mzito akaniapia kwamba,
'kwa vyovyote vile, iwe mvua, jua, kwa Ndumba, mahombi, kukesha ata kwa damu lazima atahakikisha nafunga nae Ndoa"
Nimemuuliza shortly kwa nini anasema hivyo? Kanijibu kwamba ameshasikia mengi kunihusu hivyo kwa vyovyote vile Nisiwaze kuhusu kumuacha kwa sababu anajua kile atakuja kunifanya,
Nilichukulia Utani, lakini kumtazama usoni naona mtu kama yuko serious kabisa wakuu.
Sijui ata nifanyaje.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama humtaki,mpeleke kibabe kuanzia leo akizingua piga mateke ya shingo na ngumi za rohoni mpaka aombe poo chakata mbususu mpya za pembeni mpaka ajue, hataweza kuendelea na wewe.Huyu binti simuelewi, baada ya kunikasilikia juzi nilipogoma kwenda kulala kwake,
Jana kaja night kwangu, baada ya mchakato mzito akaniapia kwamba,
'kwa vyovyote vile, iwe mvua, jua, kwa Ndumba, mahombi, kukesha ata kwa damu lazima atahakikisha nafunga nae Ndoa"
Nimemuuliza shortly kwa nini anasema hivyo? Kanijibu kwamba ameshasikia mengi kunihusu hivyo kwa vyovyote vile Nisiwaze kuhusu kumuacha kwa sababu anajua kile atakuja kunifanya,
Nilichukulia Utani, lakini kumtazama usoni naona mtu kama yuko serious kabisa wakuu.
Sijui ata nifanyaje.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app