Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,198
Huyu binti simuelewi, baada ya kunikasirikia juzi nilipogoma kwenda kulala kwake, Jana kaja night kwangu, baada ya mchakato mzito akaniapia kwamba, 'kwa vyovyote vile, iwe mvua, jua, kwa Ndumba, maombi, kukesha ata kwa damu lazima atahakikisha nafunga nae Ndoa"
Nimemuuliza shortly kwa nini anasema hivyo? Kanijibu kwamba ameshasikia mengi kunihusu hivyo kwa vyovyote vile nisiwaze kuhusu kumuacha kwa sababu anajua kile atakuja kunifanya.
Nilichukulia Utani, lakini kumtazama usoni naona mtu kama yuko serious kabisa wakuu.
Sijui ata nifanyaje.
Cc Zero IQ
Nimemuuliza shortly kwa nini anasema hivyo? Kanijibu kwamba ameshasikia mengi kunihusu hivyo kwa vyovyote vile nisiwaze kuhusu kumuacha kwa sababu anajua kile atakuja kunifanya.
Nilichukulia Utani, lakini kumtazama usoni naona mtu kama yuko serious kabisa wakuu.
Sijui ata nifanyaje.
Cc Zero IQ
