kama upo macho karibu tupige stori.
Kama unataka basi acha kuandika sms language. Ucku ni tofauti na usikuna mm nataka story...za ucku
Nilikua nauliza mchana, hukuonekana...
na mm nataka story...za ucku
Eleza (I guess ndio kuitika kwenyewe)story story.....(itikia)
Haki ya nani tena wamembana, hajapitamchana nilikuwa natembeza mahindi ya kuchemsha. Nipe updates za candidate wetu. Thread imekuwa ndefu sana hadi nimeshindwa kufatilia.
Eleza (I guess ndio kuitika kwenyewe)
Mkuu, unatafutwa ile thread y NN. Kuna mwanadada anaitwa Jackie anakutafuta. lolhusninyo hivi wakaa mpwapwa kweli?
husninyo hivi wakaa mpwapwa kweli?
Hahahahahaha, story njo, uongo njoo, utam'kolea!!!unaitikia hivi.."stori njo, uongo njo, utamu kolea". Haya itika nikusikie.
nipo zaidi ya macho...
twende kazi.
Haki ya nani tena wamembana, hajapita
Kwanza wamesema kua amepata kura mbili (ya the boss na ya belinda jacob)
eti wewe na mimi tulipiga kura kichit chat zaidi
Na kwamba kura ya taz haihesabiki sababu alinukuu kura za member mngine na kusema: hii ndio kura yangu
eti alitakiwa kuandika mwenyewe bila kunikuu.
Hata hivo anakua na kura tatu valid...
what they did wakamhamisha category from JF man of the year ambapo angekua wa kwanza
na kumpeleka MMU king sijui nini, ambapo The Boss alikua na kura 8, na mngine gani sijui alikua na kura 6
So akaonekana hana kura za kutosha.'
Nilipopiga appeal wakaanza kusema kuna something personal kati ya candidate na Mwali.
So I just stopped, nikamwandikia na Supaman kua nimekubali matokeo, kura ziendelee tu
But mimi namjua JF man of they year wangu ni nani...
ndio the boss, karibu sana mpwapwa.
Haki ya nani tena wamembana, hajapita
Kwanza wamesema kua amepata kura mbili (ya the boss na ya belinda jacob)
eti wewe na mimi tulipiga kura kichit chat zaidi
Na kwamba kura ya taz haihesabiki sababu alinukuu kura za member mngine na kusema: hii ndio kura yangu
eti alitakiwa kuandika mwenyewe bila kunikuu.
Hata hivo anakua na kura tatu valid...
what they did wakamhamisha category from JF man of the year ambapo angekua wa kwanza
na kumpeleka MMU king sijui nini, ambapo The Boss alikua na kura 8, na mngine gani sijui alikua na kura 6
So akaonekana hana kura za kutosha.'
Nilipopiga appeal wakaanza kusema kuna something personal kati ya candidate na Mwali.
So I just stopped, nikamwandikia na Supaman kua nimekubali matokeo, kura ziendelee tu
But mimi namjua JF man of they year wangu ni nani...
Hahahahahaha, story njo, uongo njoo, utam'kolea!!!
Kama unataka basi acha kuandika sms language. Ucku ni tofauti na usiku
Nataka kujiunga na ardhi university vp waweza nisaidia taratbu zote?