Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Hii issue nilifwatilia mwaka jana ila naona kwa nchi yetu ni ngumu maana hatuna access ya PAYPAL.Kama kichwa Cha habari hapoo juu kivyoeleza hivi Kuna mtu amaesha wah fanya Amazon FBA humu au kwa Tanzaniainawezekana
View attachment 2027100
Mbaya zaidi viongozi wamejazana pale wizarani wakilelela vitambi vyao.
PS: Nimejaribu kucheki naona kama kuna uwezekano... ngoja niifwatilie vizuri maana ni muda kidogo..
inawezekana