Mkuu asante kwa interest yako,jumla pamoja na USAFIRI itakua 2,640,000/=...kwa kuwa TUNAJALI WATEJA WETU,TUTAKUPUNGUZIA LAKI 1,itakuwa 2,540,000/=,yan tunakupangia vizuri mzigo site kwako........0764 468 469 KARIBU SANA MKUU...!Nikihitaji tofari 2200 toka site kwenu mpaka Kigamboni (Kibada) itanigharimu kiasi gani pamoja na usafiri?
Ahsante sana Kiongozi, ufafanuzi zaidi hiyo bei ya jumla umeipataje? I.e naomba mchanganuo wake.Mkuu asante kwa interest yako,jumla pamoja na USAFIRI itakua 2,640,000/=...kwa kuwa TUNAJALI WATEJA WETU,TUTAKUPUNGUZIA LAKI 1,itakuwa 2,540,000/=,yan tunakupangia vizuri mzigo site kwako........0764 468 469 KARIBU SANA MKUU...!
Nashukuru kwa ufafanuzi, lakini hata hivyo umesahahu kama kwenye post moja hapo juu umesema ukinunua zaidi ya 2000 unapata discount? Swali la pili hivi mtu akihitaji mzigo wa uhakika kuna uwezekano wa kwenda kufanyia hiyo kazi kwenye site yake badala ya kusafirisha? Mfano mtu anataka tofari 5000 na kuendelea?Asante SG8 kwa ushiriki wako,mchanganuo uko hiv,tofali moja ni sh 800/=,usafir wake ikiwamo bei ya kupakia,kusafirisha na kushusha site ni sh 400/,ina maana tofali moja had site ni sh 1,200/.Kwa tofali 2,200 inakuwa ni 2,640,000/ sasa tunakufanyia PUNGUZO KWA UJUMLA laki 1,kwa hiyo tofal had site tayar kwa ujenzi ni 2,540,000/=.KARIBU SANA MKUU,MAANA KWA UBORA WA TOFAL ZETU UTALETA MTEJA MWINGINE.....
HALAAL Company Ltd at
TEGETA Nyaishozi,along side BAGAMOYO Road,DAR ES SALAAM, brings you a
very special offer......!
Quality Cement Blocks at only 800/= Tsh,manufactured by using GENUINE
LUCKY CEMENT from PAKISTAN,DAWASCO TAPE WATER,ADMIXTURES(Improve
quality),QUALITY MASHINES and COMPETENT OPERATORS....ALSO we do have
CONCRETE BLOCKS(tofali za kokoto) with a very GOOD CEMENT RATIO and
QUALITY AGGREGATES at 1200/= Tsh for 5 inches and 1400/= Tsh for 6
inches .....
For a QUALITY BUILDING,build with HALAAL Company Ltd....0764 468 469,,,,
''WELLCOME ALL''....
Weekend ndio muda mzur wa kufanya MANUNUZI,karibun nyote mpate,MATOFALI,MATOFAL YA KOKOTO,PAVERS,PANELS,LOUVERS,VYUNGU VYA MAUA n.k kwa bei poa kabisa!
Weekend ndio muda mzur wa kufanya MANUNUZI,karibun nyote mpate,MATOFALI,MATOFAL YA KOKOTO,PAVERS,PANELS,LOUVERS,VYUNGU VYA MAUA n.k kwa bei poa kabisa!