Amatus Liyumba na Mkewe wagombea mali

Amatus Liyumba na Mkewe wagombea mali

Kweli kitimoto hujikaanga kwa mafuta yake.... hadi kinaishia
 
Kweli pesa maua...ndo tuseme jamaa kafulia au?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
mi nahisi ameamua kufanya kama yule tajiri yesu akamwambia kauze malizako zote ugaie maskini sema atuji tu anaegaiawa ni nani hapa
 
Zamu yake nae kufulia maana alikwiba sasa fedha zinarudi alikozitoa plus laana za madada aliokuwa anawalala ofcourse kwa kiherehere chao cha kudrive na mkwanja faster

aisee jamaa alivuma kweli kipindi hicho na naaminiwengi mliokurupuka na mizigo ya jangwani sec enxi hizo sasa mmeshaweka kama si o kutenga sehemu za kuzikwa
 
Naapa kwamba kila aliedhulumu mali ya watanzania waliopaswa kuwa matajiri na kuwaacha hohehahe basi hatakufa bila ya kuonja machungu ya laana hiyo! kuna watakao filisika, kuna watakao fungwa, wengine tindikali na wengine watakufa kwa bomba ilimradi tu haki za wananchi zitawasuta!! I do not think that the guy deserves my sorry!!!!
 
soma majira
pg 4 loh kweli aliejisemea bora ufe umesimama kuliko kufa unapiga magoti loh
 
yule anajua hana miaka mingi ya kuwa hai, bado ana hela ya kula , kulala, kustarehe na kuhonga, anachofanya Liyumba ni kama wazimu na kutaka kumkomoa mkewe.

maana inadaiwa tangu atoke jela anaishi kwa kimada, sasa hawa vimada hawanaga uchungu na mali za familia......
 
Zamu yake nae kufulia maana alikwiba sasa fedha zinarudi alikozitoa plus laana za madada aliokuwa anawalala ofcourse kwa kiherehere chao cha kudrive na mkwanja faster

hao wadada hata kilio chao hakisikiki kwa Mungu maana ni uasherati walifanya. Ukipewa nafasi ukichezea bora unyang'anywe hiyo nafasi. Yanayompata sasa ni haki yake.
 
hao wadada hata kilio chao hakisikiki kwa Mungu maana ni uasherati walifanya. Ukipewa nafasi ukichezea bora unyang'anywe hiyo nafasi. Yanayompata sasa ni haki yake.

Ilo nalo neno!JK kwenye haya umalizia KIHEREHER CHAO
 
Walimkaanga hiv hivi maskini serikali hii loh
cha ajabu waliokula hela wametulia
 
Jembe AMATUS LIUMBA, mzee wa kugawa RAV4 nyekundu tu kwa warimbwende na wa kibongo ili awagegede!
Leo hii anauza nyumba ya familia!
KWELI, EASY COME, EASY GO!
 
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1377203559457.jpg
    uploadfromtaptalk1377203559457.jpg
    35.5 KB · Views: 278
Masanja mkandamizaji leo amecheza wafanyakazi wa serikali wanavyoiibia serikali wanayoitumikia. Anapunguza upana wa barabara anayosimamia kandarasi kwa inchi 4" upana mara kilometa za barabara.
 
kama picha fulani vile
namkumbuka mh huyu sikuwahi kumjua kwa sura mpaka kesi ya epa lakini nikkiwa form two alivuma sana sana na magari mekundu kwa mabinti huku kadi za gari akibaki nazo mkononi....na si hili tu kuna baadhi waliumia sana kwa kulazimishwa kushuka kwenye gari na kuliachia walipofika kwenye mataa kisa kutokuelewana na mh huyu

sasa hili ni lingine linahusu familia
pengine wengi wamepitia kwenye shida hii ya kuuza mali za familia;
familia ya amatus lyumba imefungua kesi ikiongozwa na mkewe lyumba kusimamisha uuzwaji wa mali za familia...kesi hiyo imefunguliwa wilaya ya ilala na mkewe aliefunga nae ndoa 1978 mkoani kilimanjaro

kesi hiyo ilitajwa mahakamani hapo jana na ilihairishwa mpaka kesho ambapo mahakama itatoa uamuzi kulingana na kipingamizi kilichowasilishwa na bw amatus liyumba

mlalamikaji anaitaka mahakama itoe amri ya kumzuia bw liyumba kuuza mali za familia na yeye aendelee kuishi na watoto wake kwenye moja ya nyumba za familia ambazo mh lyumba alileta madalali wa kuiuza huku mama na watoto wakiwa ndani ya nyumba awajaui kinachoendelea...

Kesi hiyo iko mbele ya hakimu jackline rugemalila mlalamikaji anatetewa na margareth ringo

hata hivyo mlalamikaji aliwasilisha kiapo mahakamani cha ndoa yao 1978 na kufanikiwa kupata watoto wa nne lyinda,jennifer,priscus, na yulia na wanaishi kwenye nyumba africasana mbezi beach...kiapo kinasema bw liyumba baada ya kutoka mahakamani alirudi nyumban na kuanza kuuza rangerover 2, landcruiser 2,trekta moja na benzi mbili pamoja na hekari 50 akuishia hapo akataka kuuanza kuza na mali ya nyumba wanamoisihi

mlalamikaji ameomba mahakama kusimamisha swala hili la uuzwaji wa mali za familia

Mkewe na Watoto wanadai Amatus anaishi Mafichoni na kimada yaani Nyumba ndogo hawajui anaishi wapi na Hatumii Mawasiliano ya simu wala e-mail anaishi kama Mullar Omary hivyo kuhofia Anauza Mali zake kwa shinikizo la Vimada huku wakihofia Pia mgao kupotelea kusikojulikana kwani Mkewe anazani mme wake si mwanachama wa TCRA hivyo akisepa na Mkwanja itakuwa issue
 
Tatizo kubwa ni matumizi ya fedha pindi anapouza Mali kwani wamedai hawapati mgao huku wakiwa hawajui anapoishi wala hawana namba ya simu kwani inasemekana Amatusi hana simu ya mkononi na hatumii mawasilino yeyote yale
 
yule anajua hana miaka mingi ya kuwa hai, bado ana hela ya kula , kulala, kustarehe na kuhonga, anachofanya Liyumba ni kama wazimu na kutaka kumkomoa mkewe.

maana inadaiwa tangu atoke jela anaishi kwa kimada, sasa hawa vimada hawanaga uchungu na mali za familia......
Huyu jamaa kumbe ameshatoka lupango, na ile kesi yake ya kukutwa na simu gerezani aliyoitumia kumpigia mkulu wa inji hii imeishaje?
 
Back
Top Bottom