Amatus Liyumba na Mkewe wagombea mali

Amatus Liyumba na Mkewe wagombea mali

Hawa ndio walikuwa watu wa kuweza kutusaidia kwa sasa kutueleza ni kwa nini uchumi wa taifa 'unakua' huku umasikini kwa wananchi wa taifa hilohilo wakizidi kuwa mafukara. Lakini matokeo yake wako kwenye migogoro kila sehemu kutokana na pesa walizotengeneza bila shaka kwa njia zisizo sahihi.
Afrika na hasa Tanzania ina matatizo mengi na inabdidi tujifunze hasa wenye nafasi za maamuzi kwa wengine kuwa bila haki hata wakilimbikiza mabilioni mangapi hawatakaa wayafaidi labda kama yamepatikana kwa jasho na bidii halisi!
 
LIYUMBA ANATIA HURUMA SANA ! maisha yake yako kwenye fadhaa kubwa, ana kila kitu maishani bali furaha iliondoka ndani ya moyo wake.

kweli jamaa,inafika kipindi ule moyo wakibinadam unarudi kama mimi binafsi navyo mmuonea huruma huyu jamaa inaonekana kila anapogusa ni moto tena moto kwelikweli,ndio amefanya blunder anastahili adhabu yake ..!but just take a picture mambo yanavyo kwendaga kombo,unakuta wale marafiki wakila siku jion baada ya kutoka mzigoni ndo wanakua nyoka wabaya kweli,yule uliekuwa unamwona mwana kwelikweli ndo nageuka kuwa devil..Daah maisha kama shilingi
 
haramu ukigutukiwa kama hawajakugutukia sio haramu ni halali wapi dimond aka naseeb domo

Mkuu,hujamwona alivyoanza kuweweseka kwa kutoa MATAMKO?..pia kama sikosei ameshaanza kuchunguzwa na POLICCM!
 
kweli jamaa,inafika kipindi ule moyo wakibinadam unarudi kama mimi binafsi navyo mmuonea huruma huyu jamaa inaonekana kila anapogusa ni moto tena moto kwelikweli,ndio amefanya blunder anastahili adhabu yake ..!but just take a picture mambo yanavyo kwendaga kombo,unakuta wale marafiki wakila siku jion baada ya kutoka mzigoni ndo wanakua nyoka wabaya kweli,yule uliekuwa unamwona mwana kwelikweli ndo nageuka kuwa devil..Daah maisha kama shilingi

Usije ukajidanganya kuwa wanaokuzunguka wote ni marafiki zako pindi unapokuwa MAMBO SAFI!! REAL FRIENDS, I repeat REAL FRIENDS, if possible, make sure are not more than TWO other wise count the REST as JAMAA ZAKO!!
 
Jamaa timbwili la mwili limeshahumka nini! Kaona siku za kudedi zinahesabika. Si unajua waliopewa RAV4 nyekundu wote wameshatangulia mbele za haki! Hekalu lina maana gani kwake katika hali hii? Anahitaji mayai na maziwa siku zisonge mbele. Uza bwana nasi tupabahatike kulilalia hilo hekalu.
 
Usije ukajidanganya kuwa wanaokuzunguka wote ni marafiki zako pindi unapokuwa MAMBO SAFI!! REAL FRIENDS, I repeat REAL FRIENDS, if possible, make sure are not more than TWO other wise count the REST as JAMAA ZAKO!!

hakyanani mpaka umri huu si amini kama na marafiki au rafiki wakweli zaidi ya ndugu zangu wa damu(tumbo moja),what i did to whom i call my friends i wish i can do to other who are not..Figure out sisi wanywaji(samahani kama wewe sio) unaweza ukfaurahiwa sana na ukajua unabonge la company lenye watu waungwana na marafiki wa dhati,pale tu unapokuwa mwepesi wa kuzungusha round,lets countdown those days..!!siku mambo yamekuwa magumu nawkisha baini hivyo taratibu unatolewa kwenye jumuiya tena nakupigwa vijembe vyambalimbali
 
That is a matrimonial home and as such his wife must have a say in this. Huwezi tu kuaamua kuuza nyumba eti kwa sababu tu wewe ni mume na umejenga mwenyewe ukasahau kuwa kuna mwenza ambaye directly or inderictly amechangia. kama kulikuwa hakuna 'prenuptial agreement' mzee mzima atabugi.
Huu ni ujumbe tosha kwa wale wanaoadvocate 'male chauvinism'
 
ndo shida ukiwa na kesi nchi hii.... polisi na mahakama watahakikisha wamekunyonya iyo ela mapaka mwisho hadi unatoka huna kitu.... na walivyo wabaya sasa ivi wanakula pande zote kwa mshtaki na mshtakiwa mpaka wote mkiishiwa ndo wanawaachia!!! ina maana jamaa hana hata ela ya kuendesha familia?? inawezekana kweli?
 
That is a matrimonial home and as such his wife must have a say in this. Huwezi tu kuaamua kuuza nyumba eti kwa sababu tu wewe ni mume na umejenga mwenyewe ukasahau kuwa kuna mwenza ambaye directly or inderictly amechangia. kama kulikuwa hakuna 'prenuptial agreement' mzee mzima atabugi.
Huu ni ujumbe tosha kwa wale wanaoadvocate 'male chauvinism'
Halafu bado anasarakasi tu baada ya drama zote hizi kitu kikubwa arudi akae vizuri na familia yake, sidhani kama age hii na walikopitia wangemlazimisha akae nao ila basi awe na maelewano kama anauza hiki basi awape hiki au wagawane mambo gani mtu mzima kuishi kama digidigi hata kwa familia yake....au labda jela imemchanganya tusimuhukumu
 
Ninasikia alikuwa mhongaji mzuri sana. Eti wanasema msichana akikubali tu alikuwa anahongwa gari. Sina uhakika na haya lakini kama ni kweli basi amedata [msemo wa watoto wa mjini]
 
hakyanani mpaka umri huu si amini kama na marafiki au rafiki wakweli zaidi ya ndugu zangu wa damu(tumbo moja),what i did to whom i call my friends i wish i can do to other who are not..Figure out sisi wanywaji(samahani kama wewe sio) unaweza ukfaurahiwa sana na ukajua unabonge la company lenye watu waungwana na marafiki wa dhati,pale tu unapokuwa mwepesi wa kuzungusha round,lets countdown those days..!!siku mambo yamekuwa magumu nawkisha baini hivyo taratibu unatolewa kwenye jumuiya tena nakupigwa vijembe vyambalimbali

mimi ni mnywaji na nimesha-exprience mambo mengi ndiyo maana rafiki wa kweli unaweza kuwa nao wawili au mmoja tu katika kundi la jamaa zako 100 unaopiga nao ulabu!!
 
Kama picha fulani vilenamkumbuka mh huyu sikuwahi kumjua kwa sura mpaka kesi ya epa lakini nikkiwa form two alivuma sana sana na magari mekundu kwa mabinti huku kadi za gari akibaki nazo mkononi....na si hili tu kuna baadhi waliumia sana kwa kulazimishwa kushuka kwenye gari na kuliachia walipofika kwenye mataa kisa kutokuelewana na mh huyu.

Sasa hili ni lingine linahusu familia pengine wengi wamepitia kwenye shida hii ya kuuza mali za familia; familia ya Amatus Liyumba imefungua kesi ikiongozwa na mkewe Liyumba kusimamisha uuzwaji wa mali za familia...kesi hiyo imefunguliwa wilaya ya Ilala na mkewe aliefunga nae ndoa 1978 mkoani Kilimanjaro.

Kesi hiyo ilitajwa mahakamani hapo jana na ilihairishwa mpaka kesho ambapo mahakama itatoa uamuzi kulingana na kipingamizi kilichowasilishwa na bw Amatus Liyumba.

Mlalamikaji anaitaka mahakama itoe amri ya kumzuia bwn. Liyumba kuuza mali za familia na yeye aendelee kuishi na watoto wake kwenye moja ya nyumba za familia ambazo mh liyumba alileta madalali wa kuiuza huku mama na watoto wakiwa ndani ya nyumba awajui kinachoendelea.

Kesi hiyo iko mbele ya hakimu Jackline Rugemalila mlalamikaji anatetewa na Margareth Ringo.

Hata hivyo mlalamikaji aliwasilisha kiapo mahakamani cha ndoa yao 1978 na kufanikiwa kupata watoto wa nne Lyinda,Jennifer,Priscus na Yulia na wanaishi kwenye nyumba Africa sana Mbezi Beach.

Kiapo kinasema bwn. Liyumba baada ya kutoka mahakamani alirudi nyumbani na kuanza kuuza rangerover 2, landcruiser 2,trekta moja na benzi mbili pamoja na hekari 50, hakuishia hapo akataka kuuanza kuza na mali ya nyumba wanamoisihi.

Mlalamikaji ameomba mahakama kusimamisha swala hili la uuzwaji wa mali za familia.

 
Kweli pesa maua...ndo tuseme jamaa kafulia au?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Zamu yake nae kufulia maana alikwiba sasa fedha zinarudi alikozitoa plus laana za madada aliokuwa anawalala ofcourse kwa kiherehere chao cha kudrive na mkwanja faster
 
Back
Top Bottom