Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,001
- 60,071
Hana yule.Lina ukimwi lile
Hana yule.Lina ukimwi lile
Ndiyo maana nilikuwa nina wasiwasi na afya ya Prof wa Lishe ,inakuwaje ana pesa halafu anakula kwa afya na amekauka KAU(ngozi haina nuru) ,kumbe Mkewe alipitiwa na Liyumba.Namba 17 kwa sasa ni mke wa daktari Profesa anayesisitiza lishe bora
Kweli Da Mange hana ngoma kabisa.Hana yule.
Kwa nini? Ikiwa katajwa? Hiyo list iheshimiwe na watu wasi betKweli Da Mange hana ngoma kabisa.
Hana wivu naye sasa wewe jichanganyeNamba 17 kwa sasa ni mke wa daktari Profesa anayesisitiza lishe bora
Kuna wanawake wengi wamepambana vilivyo kupata mafanikio ya juu na wengine kuwa matajiri. Wanastahili kupewa maua yao.Ila wanawake akili zao kama kondoo... Esther kitambo sana kazishika hela. Ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwa na hizi english medium schools kule Arusha. Mwaka 2000 nakumbuka alikuwa na Jue Junior primary school. Nashindwa kuelewa alitoa wapi tamaa tena hadi kuliwa na Liyumba??!!
Ukimuona live unaweza ukapata angalau picha halisi kuhusu hali yake ya kiafya na hasa kama uliwahi mwona miaka 2000'sHana yule.
Hao mamiss wa mwaka gani?Vijana wa 2005
UKIMWI upo na unaua. Zamani kabla ya ARV haijaboreshwa ilikuwa unaweza ukamjua kirahisi mtu mwenye ngoma. Lakini kwa sasa ni ngumu, dawa zinawafanya baadhi wanawiri, wavimbe sura na wawe weupe.
Lakini akila sana dawa figo, ini, mapafu, sukari, kansa ya damu, pressure n.k huwa vinawatawala hata kama umri wao haujafika 50-60.
Hakuna aliye salama tunapaswa kuchukua tahaadhari. Ni ngumu lakini nawaasa tujitahidi kutumia kinga inapobidi hata demu awe mkali kivipi.
Uzoefu unaonyesha wanawake wengi wanastahimili zaidi kuliko wanaume. Wanaume wengi ambao walisumbua mjini 1997-2010 leo hawapo na waliobaki afya mgogoro. walikuwa hadi na madalali. mfano mzee machache, mmiliki wa the green school, jasiri mwongoza njia, Gardern H, Mutiee, kimlima, cisco system, Grey hair, 6, mengo, n.k
Mademu ambao kipindi hicho walichapika vilivyo ambapo madon walikuwa wanapasiana mjini, sasa mnawaita mashangazi na wanalea vibenten kama wamechanganyikiwa. kuna mmoja juzi mmempa award alizimia mnazi mmoja wakati wa kupima ngoma 2006. Kuna mwaka Miss Tz 1,2,3 na 4 walikuwa wanapishana pale Geraffe Hotel kugawa dozi. Binafsi nilipona kwenye tundu la sindano. Vibenten wanaona wamepata kumbe ..............
Mimi sio mkamilifu lakini nimeona tukumbushane.
Bila mungu peke yetu hatuwezi.
Mwanangu experience yako ni kali mno aseeVijana wa 2005
UKIMWI upo na unaua. Zamani kabla ya ARV haijaboreshwa ilikuwa unaweza ukamjua kirahisi mtu mwenye ngoma. Lakini kwa sasa ni ngumu, dawa zinawafanya baadhi wanawiri, wavimbe sura na wawe weupe.
Lakini akila sana dawa figo, ini, mapafu, sukari, kansa ya damu, pressure n.k huwa vinawatawala hata kama umri wao haujafika 50-60.
Hakuna aliye salama tunapaswa kuchukua tahaadhari. Ni ngumu lakini nawaasa tujitahidi kutumia kinga inapobidi hata demu awe mkali kivipi.
Uzoefu unaonyesha wanawake wengi wanastahimili zaidi kuliko wanaume. Wanaume wengi ambao walisumbua mjini 1997-2010 leo hawapo na waliobaki afya mgogoro. walikuwa hadi na madalali. mfano mzee machache, mmiliki wa the green school, jasiri mwongoza njia, Gardern H, Mutiee, kimlima, cisco system, Grey hair, 6, mengo, n.k
Mademu ambao kipindi hicho walichapika vilivyo ambapo madon walikuwa wanapasiana mjini, sasa mnawaita mashangazi na wanalea vibenten kama wamechanganyikiwa. kuna mmoja juzi mmempa award alizimia mnazi mmoja wakati wa kupima ngoma 2006. Kuna mwaka Miss Tz 1,2,3 na 4 walikuwa wanapishana pale Geraffe Hotel kugawa dozi. Binafsi nilipona kwenye tundu la sindano. Vibenten wanaona wamepata kumbe ..............
Mimi sio mkamilifu lakini nimeona tukumbushane.
Bila mungu peke yetu hatuwezi.
Unaguna Nini? Haaahaa 😆 😊 hope enzi hizo ulikua ki chalii ama haujazaliwa..Mmmh
Mi mkubwa mkuu ni wa 1989 sema bado tu nina utoto mwingiUnaguna Nini? Haaahaa 😆 😊 hope enzi hizo ulikua ki chalii ama haujazaliwa..
Hapo sawaa😊Mi mkubwa mkuu ni wa 1989 sema bado tu nina utoto mwingi
Enganga Baltasar wa zamani.Hiyo List ya kizushi....hata kama kama huyo Liumba ana pesa kiasi hicho..ina maana halikwa hafanyi kazi na muda wote ilikuwa kuchapa mabinti na wanawake tu??? I find this bullshit......sikatai kwamaba list yote ni feki...lakini too much exageration....List hiyo pia italeta athari kubwa sana hasa kwa wana ndoa wanaonekana kwenye list hiyo hata kwa wapenzi wa kawaida.....
The list is bullshit!
Yuko WHO SAIVINdiyo maana nilikuwa nina wasiwasi na afya ya Prof wa Lishe ,inakuwaje ana pesa halafu anakula kwa afya na amekauka KAU(ngozi haina nuru) ,kumbe Mkewe alipitiwa na Liyumba.
Heee, what are these?NB:Jamani orodha ni ndefu mno kama unafahamu wengine ongezea kwa muda wako, sasa hawa mademu wengi wao walikuwa wanazunguka kwa mapedeshee na watu wenye pesa Dar baadhi yao ni:
1.Zadoc.
2.Mlatie (Mwenye Rose Garden pale Mikocheni Majimachafu).
3.Mujuni (wa EPA).
4.Lawrence Masha (Waziri wetu wa Mambo ya Ndani).
5.Cisco Mtiro (Aliyekuwa Mkuu wa Itifaki Ikulu kazi ipo).
6.Papaa Msofe.
7.Jack Pemba.
8.Bashir Awadh (MD wa Stanbic Bank kama sikosei).
9.Ray (wa Regency Hotel).
10.Kinjekitile Ngombale Mwiru.
11.Alex Massawe.( mwenye A.M. Investment).
12.Mudhamil(kampani ya akina Msofe).
13.Crecensious Magori (Jamaa wa NSSF).
huyo mwenye red sijui kama bado yupo ameshawatanguliza baadhi ya watu.
PAngalia kipato chakoooo.......
Chunga tamaa mbaya ndugu yangu tamaa mbaya!!!!!huyo papaa karibu atachomoka,sijui bado mshiko upo???na utashangaa wadada wa mjini wanaopenda maisha ya juu,na vijigari uchwara af hela ya petroli mpaka wachakachuliwe na kinakaka wakware ndo wapate vijisenti, vya kutia wese!hawatajipendekeza! Wanawake wengine shenzi kweli,hata zege inabidi ubebe,there is no shortcut way of life!lazma uumie bana alaaaa
😤😤😤Masawe yupoHeee, what are these?
We2 mgeni hapa duniani?! Dunia ya sasa hata baba mzazi anamla Binti yake shetani ni mshenzi kabisaDaaah kwaiyo kwenye familia ya mhita jamaa alikula kuku na mayai duuh noma sana