PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Ila zamu hii CCM mmeyatimba , sijui kwenye Chess tuiteje hii kitu 😂😂😂
 
Amani ni mtoto wa tatu, wa kwanza HAKI na wa pili ni UWAJIBIKAJI
Watawajibika Vipi vitani? Amani sio Haki ya Raia
AMANI ni matokeo Ya kufanya vitu kwa uwajibikaji [HAKi]. Yani hakuna namna kukawa na amani kama haki hamna na hili ni kuanzia ngazi ya familia.
Mfano utegemee familia yenye amani wakati hautendi haki wewe kama baba.
Nakuelewa sana. Msingi wa bandiko langu ni kuwa kipi kitangulizwe?
 
AMANI MALI YA RAIA WOTE,ILA V8 MALI ZA VIONGOZI 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Wale wa PhD zenu mpaka leo hamjajua kwamba hata 'AMANI ni miongoni mwa haki za RAIA?



🫴 Miongoni mwa haki za kwanza za raia ni; kulindwa au kupewa ulinzi na usalama wa yeye kama raia pili na mali zake
🔹️ Ndio maana kukawa na Jeshi la kulinda nchi na mipaka yake na Jeshi la kulinda usalama wa raia ndani ya nchi [Polisi]
🔹️ Na serikali zote duniani bajeti kubwa iko kwenye usalama wa raia na mali zao.
Hakuna bajeti inafikia bajeti ya Jeshi na Usalama wa nchi.

🔹️ Kipi kinatangulizwa na kipi kinacheleweshwa kwenye hizo haki zote?
Haki ziko nyingi sana za raia ;
🫴 Haki ya usalama[amani]
🫴 Haki ya chakula
🫴 Haki ya matibabu
🫴 Haki ya elimu
🫴 Haki ya kuabudu
🫴 Haki ya kuishi
🫴 Haki ya uraia
🫴 Haki ya kuheshimiwa n.k
Je, msingi wa hizo haki zote ni upi?
Jawabu;
✍️ Ili haki zote hizo zipatikane msingi wake ni 'AMANI au USALAMA' uwepo'

Isipokuwepo hiyo ya msingi(Amani)zote zinapotea;
*Kwenye vita chakula hakipatikani,
*Kwenye vita matibabu hakuna,
*Kwenye vita haki ya kuishi haitakwepo mtakua mnauana tu,
*Kwenye vita shule haziendeki walimu na wanafunzi wako ndani wanaogopa kufa,
*Kwenye vita misikitini na makanisani hakuendeki n.k

Kwahiyo fanya ufanyavyo lazima haki ya msingi ambayo ni usalama[amani] wa mtu na mali zake itakua juu ya zote.

Haki ya usalama haiwezi kukaliwa juu au kutanguliwa na kitu chochote.
Kwakuwa kwenye haki zote hizo huwezi zipata kama hakuna 'AMANI' au 'USALAMA'

🫴 Huwezi kula, huwezi kutibiwa, huwezi kusoma sehemu haina amani kama Sudan na Libya au Congo.
Huwezi kuivunja na kuiondoa haki ya msingi ya amani ambayo ndio inalinda uwepo wa haki zingine kisha utarajie kwamba haki zingine zitatendeka.

🫴 Sasa basi je, kati ya hizo haki zote hapo juu utatanguliza ipi ili zingine zipatikane kwa ufanisi?
Wala huitajii PhD hapo.

Je, hii haki ya amani[ambayo ni usalama wa raia na mali zao] tuiondoe tuache ya mwisho kwanza ili tupate haki ya tume huru na katiba mpya inawezekana?
Kiakili za kawaida tu bila PhD haiwezekani mifano ipo.

🫴 'Sudan na Congo' hakuna chakula, hakuna tume huru, hakuna katiba mpya, hakuna matibabu watu wanajifia kwa kukosa matibabu, hakuna maisha, hakuna shule, hakuna kuabudu kwasababu ile haki ya msingi au kile cha msingi kimekosekana nacho ni 'AMANI'

🔹️ Habari ya kusema msingi wa amani ni haki HAPANA, Ni sawa na mtu kusema msingi wa haki ni haki
Kwasababu hii amani pia ni haki
Zote ni katika haki lakini inatangulizwa yenye msingi wa kuwepo kwa haki zingine.
Kwasababu huwezi kwenda serikalini ukaanza kusema ; nipeni haki yangu, nipeni haki yangu; je ni haki ipi unakusudia upatiwe ⁉

*Je, unakusudia haki ipi ambayo ndio msingi wa àmani?
*Je amani si miongoni mwa haki?
*Je, ni haki ipi ambayo ndio msingi wa haki zote

🔹️Ama ukija na hoja kwamba watu wanatekwa na wengine kuuwawa kwa hiyo haki ya amani na usalama inavunjwa?

Kwanza; Jiulize sababu ya wao kukamtwa na kutekwa au kuuwawa ni nini ⁉ wamefanya nini kwani au kila mtu anatekwa Tanzania?

🫴 Kama usalama wa raia na mali zao Tanzania haupo ...mbona wanatekwa watu fulani tu?

*Mbona sijasikia mwanajeshi au polisi au wanafunzi au masister au walimu katekwa?

Pia kumbuka kwamba; wapo raia ambao wanakusudia kwa dhamira kuiharibu amani ya nchi au usalama wa raia na mali zao

🫴 Sasa hao wakikamatwa au kutekwa au kuwawa kwa ajili ya kulinda raia wengine walio wengi na mali zao huezi sema ni uvunjifu wa amani au usalama

🫴 Mbona wakikamatwa wezi, majambazi au wakauwawa hamlalamiki kwamba haki za raia zinavunjwa na askari wa Tanzania?

🔹️ Kumbukeni kulikuwa na panya road Dar na Tanga kulikuwa na watoto wa ibilisi.
Watu wakawa wanaishi kwa hofu kwa kuhofia usalama wao.
🔹️ Serikali ikawavalia njuga...wakauwawa na wengine kukamatwa na wakafunguliwa mashtaka....mbona hamkulalamika kwamba haki zinavunjwa ⁉
au wale panya road sio raia wa Tanzania au wale walikua Gen z wa Kenya

🫴 Sasa mkiukubali msingi huu wa kulinda amani na usalama wa raia namna hii, lazima pia mkubali utumike kote sio kwa wezi tu na majambazi na panya road.

🫴 Hebu fikiria mtu ni kweli kadhulumiwa ubunge, au kaona ufisadi serikalini, au kaibiwa kura
akifanya jambo la uasi linalopelekea kuvunjika kwa amani aachwe tu asiwajibishwe ⁉

🔹️ Mfano ; Mtu kaibiwa kura kwenye uchaguzi sawa kadhulumiwa; Kisha yeye baada ya kufanyiwa dhulma ile akawa anatamka wazi kwamba askari wauwawe au anashawishi vijana waandamane kufanya uasi dhidi ya serikali je, aachwe?

*Huyu na jambazi au mwizi au panya road wana tofauti gani?

Mbona mnakuwa na nyuso mbili tofauti 🫷🖐👀👀👀✍️
Hujui maana ya haki mama. Haki mama ni kulinda uhai.

Unafanyaje kulinda uhai? Unahakikisha pato la taifa halienda kwenye familia zenu tatu, tano linaenda kusaidia nchi yote hasa huduma zote muhimu kama elimu, afya, miundombinu.

Una uchaguzi huru, tume huru mahakama huru. Wawakikishi wa nchi nzima kuamua nchi yao iongozwe vipi.

Formula tayari tunayo ni nchi kama Botswana, Singapore, hata Namibia ukiachilia mbali advanced countries kama Sweden, Norway, Denmark..
 
Watawajibika Vipi vitani? Amani sio Haki ya RAIA?
Acha ujinga tayari tupo vitani toka 2021 kuibiwa na mafisadi kwa kasi kubwa sana, kuuza nchi, kuua, kulawiti, kubaka, kutesa, kuteka, kupoteza, kuua raia.

Hii ni amani au haki kwako?

Sasa hivi Watanzania wamezinduka wanataka kuleta amani, haki ya kweli kwenye nchi yao.
 
Penye haki pana amani, ila penye amani hakuna guarantee ya haki
Haki kwanza mengine ni ziada tu
 
Haki mama ya raia ni UHURU.
Uhuru wa kujitawala na kuamua nani awe kiongozi wao bila hofu.
Uhuru wa kuzungumza.
Uhuru wa imani
Uhuru wa fursa
Amani ni matokeo tu ya haki.
Wale wa PhD zenu mpaka leo hamjajua kwamba hata 'AMANI ni miongoni mwa haki za RAIA?



🫴 Miongoni mwa haki za kwanza za raia ni; kulindwa au kupewa ulinzi na usalama wa yeye kama raia pili na mali zake
🔹️ Ndio maana kukawa na Jeshi la kulinda nchi na mipaka yake na Jeshi la kulinda usalama wa raia ndani ya nchi [Polisi]
🔹️ Na serikali zote duniani bajeti kubwa iko kwenye usalama wa raia na mali zao.
Hakuna bajeti inafikia bajeti ya Jeshi na Usalama wa nchi.

🔹️ Kipi kinatangulizwa na kipi kinacheleweshwa kwenye hizo haki zote?
Haki ziko nyingi sana za raia ;
🫴 Haki ya usalama[amani]
🫴 Haki ya chakula
🫴 Haki ya matibabu
🫴 Haki ya elimu
🫴 Haki ya kuabudu
🫴 Haki ya kuishi
🫴 Haki ya uraia
🫴 Haki ya kuheshimiwa n.k
Je, msingi wa hizo haki zote ni upi?
Jawabu;
✍️ Ili haki zote hizo zipatikane msingi wake ni 'AMANI au USALAMA' uwepo'

Isipokuwepo hiyo ya msingi(Amani)zote zinapotea;
*Kwenye vita chakula hakipatikani,
*Kwenye vita matibabu hakuna,
*Kwenye vita haki ya kuishi haitakwepo mtakua mnauana tu,
*Kwenye vita shule haziendeki walimu na wanafunzi wako ndani wanaogopa kufa,
*Kwenye vita misikitini na makanisani hakuendeki n.k

Kwahiyo fanya ufanyavyo lazima haki ya msingi ambayo ni usalama[amani] wa mtu na mali zake itakua juu ya zote.

Haki ya usalama haiwezi kukaliwa juu au kutanguliwa na kitu chochote.
Kwakuwa kwenye haki zote hizo huwezi zipata kama hakuna 'AMANI' au 'USALAMA'

🫴 Huwezi kula, huwezi kutibiwa, huwezi kusoma sehemu haina amani kama Sudan na Libya au Congo.
Huwezi kuivunja na kuiondoa haki ya msingi ya amani ambayo ndio inalinda uwepo wa haki zingine kisha utarajie kwamba haki zingine zitatendeka.

🫴 Sasa basi je, kati ya hizo haki zote hapo juu utatanguliza ipi ili zingine zipatikane kwa ufanisi?
Wala huitajii PhD hapo.

Je, hii haki ya amani[ambayo ni usalama wa raia na mali zao] tuiondoe tuache ya mwisho kwanza ili tupate haki ya tume huru na katiba mpya inawezekana?
Kiakili za kawaida tu bila PhD haiwezekani mifano ipo.

🫴 'Sudan na Congo' hakuna chakula, hakuna tume huru, hakuna katiba mpya, hakuna matibabu watu wanajifia kwa kukosa matibabu, hakuna maisha, hakuna shule, hakuna kuabudu kwasababu ile haki ya msingi au kile cha msingi kimekosekana nacho ni 'AMANI'

🔹️ Habari ya kusema msingi wa amani ni haki HAPANA, Ni sawa na mtu kusema msingi wa haki ni haki
Kwasababu hii amani pia ni haki
Zote ni katika haki lakini inatangulizwa yenye msingi wa kuwepo kwa haki zingine.
Kwasababu huwezi kwenda serikalini ukaanza kusema ; nipeni haki yangu, nipeni haki yangu; je ni haki ipi unakusudia upatiwe ⁉

*Je, unakusudia haki ipi ambayo ndio msingi wa àmani?
*Je amani si miongoni mwa haki?
*Je, ni haki ipi ambayo ndio msingi wa haki zote

🔹️Ama ukija na hoja kwamba watu wanatekwa na wengine kuuwawa kwa hiyo haki ya amani na usalama inavunjwa?

Kwanza; Jiulize sababu ya wao kukamtwa na kutekwa au kuuwawa ni nini ⁉ wamefanya nini kwani au kila mtu anatekwa Tanzania?

🫴 Kama usalama wa raia na mali zao Tanzania haupo ...mbona wanatekwa watu fulani tu?

*Mbona sijasikia mwanajeshi au polisi au wanafunzi au masister au walimu katekwa?

Pia kumbuka kwamba; wapo raia ambao wanakusudia kwa dhamira kuiharibu amani ya nchi au usalama wa raia na mali zao

🫴 Sasa hao wakikamatwa au kutekwa au kuwawa kwa ajili ya kulinda raia wengine walio wengi na mali zao huezi sema ni uvunjifu wa amani au usalama

🫴 Mbona wakikamatwa wezi, majambazi au wakauwawa hamlalamiki kwamba haki za raia zinavunjwa na askari wa Tanzania?

🔹️ Kumbukeni kulikuwa na panya road Dar na Tanga kulikuwa na watoto wa ibilisi.
Watu wakawa wanaishi kwa hofu kwa kuhofia usalama wao.
🔹️ Serikali ikawavalia njuga...wakauwawa na wengine kukamatwa na wakafunguliwa mashtaka....mbona hamkulalamika kwamba haki zinavunjwa ⁉
au wale panya road sio raia wa Tanzania au wale walikua Gen z wa Kenya

🫴 Sasa mkiukubali msingi huu wa kulinda amani na usalama wa raia namna hii, lazima pia mkubali utumike kote sio kwa wezi tu na majambazi na panya road.

🫴 Hebu fikiria mtu ni kweli kadhulumiwa ubunge, au kaona ufisadi serikalini, au kaibiwa kura
akifanya jambo la uasi linalopelekea kuvunjika kwa amani aachwe tu asiwajibishwe ⁉

🔹️ Mfano ; Mtu kaibiwa kura kwenye uchaguzi sawa kadhulumiwa; Kisha yeye baada ya kufanyiwa dhulma ile akawa anatamka wazi kwamba askari wauwawe au anashawishi vijana waandamane kufanya uasi dhidi ya serikali je, aachwe?

*Huyu na jambazi au mwizi au panya road wana tofauti gani?

Mbona mnakuwa na nyuso mbili tofauti 🫷🖐👀👀👀✍️
 

Attachments

  • 807385ecbacd02a24b52b03c5c696267.mp4
    7.2 MB
The Universal Declaration of Human Rights pia zinaitwa Haki za Binadamu or Tamko la Kimataifa la Haki za Binadamu in Swahili. The Makubaliano ya UN promotes and protects human rights.

Key articles include the right to life, liberty, and security (Article 3) and the right to freedom of movement (Article 13).
  • Article 3 states: "Kila mtu ana haki ya kuishi, haki ya uhuru, na haki ya kulindwa nafsi yake" (Everyone has the right to life, liberty and security of person).
Tanzania tuna haki ya kutekwa, kuteswa, kuuwawa, kodi zetu kutumika na Samia, Abdul, Kikwete kutupa ulemavu.
 
Acha ujinga tayari tupo vitani toka 2021 kuibiwa na mafisadi kwa kasi kubwa sana, kuuza nchi, kuua, kulawiti, kubaka, kutesa, kuteka, kupoteza, kuua raia.

Hii ni amani au haki kwako?

Sasa hivi Watanzania wamezinduka wanataka kuleta amani, haki ya kweli kwenye nchi yao.
Ni kweli matatizo ya Utekaji,uonevu yalianza 2021? Au kuna agenda nyingine kwa jina la kudai Haki?
 
Wale wa PhD zenu mpaka leo hamjajua kwamba hata 'AMANI ni miongoni mwa haki za RAIA?



🫴 Miongoni mwa haki za kwanza za raia ni; kulindwa au kupewa ulinzi na usalama wa yeye kama raia pili na mali zake
🔹️ Ndio maana kukawa na Jeshi la kulinda nchi na mipaka yake na Jeshi la kulinda usalama wa raia ndani ya nchi [Polisi]
🔹️ Na serikali zote duniani bajeti kubwa iko kwenye usalama wa raia na mali zao.
Hakuna bajeti inafikia bajeti ya Jeshi na Usalama wa nchi.

🔹️ Kipi kinatangulizwa na kipi kinacheleweshwa kwenye hizo haki zote?
Haki ziko nyingi sana za raia ;
🫴 Haki ya usalama[amani]
🫴 Haki ya chakula
🫴 Haki ya matibabu
🫴 Haki ya elimu
🫴 Haki ya kuabudu
🫴 Haki ya kuishi
🫴 Haki ya uraia
🫴 Haki ya kuheshimiwa n.k
Je, msingi wa hizo haki zote ni upi?
Jawabu;
✍️ Ili haki zote hizo zipatikane msingi wake ni 'AMANI au USALAMA' uwepo'

Isipokuwepo hiyo ya msingi(Amani)zote zinapotea;
*Kwenye vita chakula hakipatikani,
*Kwenye vita matibabu hakuna,
*Kwenye vita haki ya kuishi haitakwepo mtakua mnauana tu,
*Kwenye vita shule haziendeki walimu na wanafunzi wako ndani wanaogopa kufa,
*Kwenye vita misikitini na makanisani hakuendeki n.k

Kwahiyo fanya ufanyavyo lazima haki ya msingi ambayo ni usalama[amani] wa mtu na mali zake itakua juu ya zote.

Haki ya usalama haiwezi kukaliwa juu au kutanguliwa na kitu chochote.
Kwakuwa kwenye haki zote hizo huwezi zipata kama hakuna 'AMANI' au 'USALAMA'

🫴 Huwezi kula, huwezi kutibiwa, huwezi kusoma sehemu haina amani kama Sudan na Libya au Congo.
Huwezi kuivunja na kuiondoa haki ya msingi ya amani ambayo ndio inalinda uwepo wa haki zingine kisha utarajie kwamba haki zingine zitatendeka.

🫴 Sasa basi je, kati ya hizo haki zote hapo juu utatanguliza ipi ili zingine zipatikane kwa ufanisi?
Wala huitajii PhD hapo.

Je, hii haki ya amani[ambayo ni usalama wa raia na mali zao] tuiondoe tuache ya mwisho kwanza ili tupate haki ya tume huru na katiba mpya inawezekana?
Kiakili za kawaida tu bila PhD haiwezekani mifano ipo.

🫴 'Sudan na Congo' hakuna chakula, hakuna tume huru, hakuna katiba mpya, hakuna matibabu watu wanajifia kwa kukosa matibabu, hakuna maisha, hakuna shule, hakuna kuabudu kwasababu ile haki ya msingi au kile cha msingi kimekosekana nacho ni 'AMANI'

🔹️ Habari ya kusema msingi wa amani ni haki HAPANA, Ni sawa na mtu kusema msingi wa haki ni haki
Kwasababu hii amani pia ni haki
Zote ni katika haki lakini inatangulizwa yenye msingi wa kuwepo kwa haki zingine.
Kwasababu huwezi kwenda serikalini ukaanza kusema ; nipeni haki yangu, nipeni haki yangu; je ni haki ipi unakusudia upatiwe ⁉

*Je, unakusudia haki ipi ambayo ndio msingi wa àmani?
*Je amani si miongoni mwa haki?
*Je, ni haki ipi ambayo ndio msingi wa haki zote

🔹️Ama ukija na hoja kwamba watu wanatekwa na wengine kuuwawa kwa hiyo haki ya amani na usalama inavunjwa?

Kwanza; Jiulize sababu ya wao kukamtwa na kutekwa au kuuwawa ni nini ⁉ wamefanya nini kwani au kila mtu anatekwa Tanzania?

🫴 Kama usalama wa raia na mali zao Tanzania haupo ...mbona wanatekwa watu fulani tu?

*Mbona sijasikia mwanajeshi au polisi au wanafunzi au masister au walimu katekwa?

Pia kumbuka kwamba; wapo raia ambao wanakusudia kwa dhamira kuiharibu amani ya nchi au usalama wa raia na mali zao

🫴 Sasa hao wakikamatwa au kutekwa au kuwawa kwa ajili ya kulinda raia wengine walio wengi na mali zao huezi sema ni uvunjifu wa amani au usalama

🫴 Mbona wakikamatwa wezi, majambazi au wakauwawa hamlalamiki kwamba haki za raia zinavunjwa na askari wa Tanzania?

🔹️ Kumbukeni kulikuwa na panya road Dar na Tanga kulikuwa na watoto wa ibilisi.
Watu wakawa wanaishi kwa hofu kwa kuhofia usalama wao.
🔹️ Serikali ikawavalia njuga...wakauwawa na wengine kukamatwa na wakafunguliwa mashtaka....mbona hamkulalamika kwamba haki zinavunjwa ⁉
au wale panya road sio raia wa Tanzania au wale walikua Gen z wa Kenya

🫴 Sasa mkiukubali msingi huu wa kulinda amani na usalama wa raia namna hii, lazima pia mkubali utumike kote sio kwa wezi tu na majambazi na panya road.

🫴 Hebu fikiria mtu ni kweli kadhulumiwa ubunge, au kaona ufisadi serikalini, au kaibiwa kura
akifanya jambo la uasi linalopelekea kuvunjika kwa amani aachwe tu asiwajibishwe ⁉

🔹️ Mfano ; Mtu kaibiwa kura kwenye uchaguzi sawa kadhulumiwa; Kisha yeye baada ya kufanyiwa dhulma ile akawa anatamka wazi kwamba askari wauwawe au anashawishi vijana waandamane kufanya uasi dhidi ya serikali je, aachwe?

*Huyu na jambazi au mwizi au panya road wana tofauti gani?

Mbona mnakuwa na nyuso mbili tofauti 🫷🖐👀👀👀✍️
Acha kulazimisha. Hakuna haki ya amani. Na ndiyo maana umelazimisha kuiweka kwenye mabano.

By the way, haki muhimu kuliko zote ni haki ya kuishi. Na kwa bahati mbaya nyinyi wahuni kwenye hizi siku za karibuni, mmejipachika haki ya kuichukua hii haki kutoka kwa raia mbalimbali wasio na hatia! Na kwa kuwanyima na haki zao nyingine za msingi (mfano haki ya kuchagua na kuchaguliwa), ndiyo hali imekuwa hivi!

Ushauri wangu kwenu; achaneni na hiki kiburi chenu cha madaraka! Acheni kutisha watu ambao baadhi yao hawana cha kupoteza! Rudini kwenye misingi ya nchi! Uonevu, dhuluma, utekaji, mauaji, na mateso mengine mengi mnayowafanyia wananchi miaka nenda, matokeo yake ndiyo haya.

Hata muwatishe vipi, hawawezi kuwasikia! Wala kuwaamini tena. Kwanza mkumbuke hata hapo mlipo hamkuchaguliwa na wananchi!
 
Ni kweli matatizo ya Utekaji,uonevu yalianza 2021? Au kuna agenda nyingine kwa jina la kudai Haki?
Kwa hiyo kama hayakuanza 2021, basi yana haki ya kuendelea na kushamiri? Na hata wananchi wanapolalamika, mnaleta jeuri ya kwamba hizo ni drama tu! Are you really serious? Na usikute wewe ni msomi! Halafu huna akili ya kufikiri.
 
Yalianza lini? Yamekolea lini? Wewe ni kama wale masheikh wa mchongo waliosema mbona JPM, Nyerere, Mkapa waliua hamkusema.

Mfano kama JPM, Nyerere, Mkapa aliteka 1000, kuua 100000. Samia inabidi aende juu zaidi ya hicho kiwango kabla ya kumwambia asifanye hivyo.

Wewe unapigania haki au unalinganisha na kutetea uhuni.

Thamani ya uhai ni ipi?

Unaweza kuwa na amani ukiwa gerezani? Kaburini, umetupwa porini?


Ni kweli matatizo ya Utekaji,uonevu yalianza 2021? Au kuna agenda nyingine kwa jina la kudai Haki?
 
Acha kulazimisha. Hakuna haki ya amani. Na ndiyo maana umelazimisha kuiweka kwenye mabano.

By the way, haki muhimu kuliko zote ni haki ya kuishi. Na kwa bahati mbaya nyinyi wahuni kwenye hizi siku za karibuni, mmejipachika haki ya kuichukua hii haki kutoka kwa raia mbalimbali wasio na hatia! Na kwa kuwanyima na haki zao nyingine za msingi (mfano haki ya kuchagua na kuchaguliwa), ndiyo hali imekuwa hivi!

Ushauri wangu kwenu; achaneni na hiki kiburi chenu cha madaraka! Acheni kutisha watu ambao baadhi yao hawana cha kupoteza! Rudini kwenye misingi ya nchi! Uonevu, dhuluma, utekaji, mauaji, na mateso mengine mengi mnayowafanyia wananchi miaka nenda, matokeo yake ndiyo haya.

Hata muwatishe vipi, hawawezi kuwasikia! Wala kuwaamini tena. Kwanza mkumbuke hata hapo mlipo hamkuchaguliwa na wananchi!
Kusema Amani itangulie haimaanishi Serikali haina makosa. Ni haki yetu kudai haki zetu kama RAIA bila vurugu,kumwaga damu.Tatizo lenu mnadhani wanaohubiri Amani wamerambishwa Asali.
 
Acha kulazimisha. Hakuna haki ya amani. Na ndiyo maana umelazimisha kuiweka kwenye mabano.

By the way, haki muhimu kuliko zote ni haki ya kuishi. Na kwa bahati mbaya nyinyi wahuni kwenye hizi siku za karibuni, mmejipachika haki ya kuichukua hii haki kutoka kwa raia mbalimbali wasio na hatia! Na kwa kuwanyima na haki zao nyingine za msingi (mfano haki ya kuchagua na kuchaguliwa), ndiyo hali imekuwa hivi!

Ushauri wangu kwenu; achaneni na hiki kiburi chenu cha madaraka! Acheni kutisha watu ambao baadhi yao hawana cha kupoteza! Rudini kwenye misingi ya nchi! Uonevu, dhuluma, utekaji, mauaji, na mateso mengine mengi mnayowafanyia wananchi miaka nenda, matokeo yake ndiyo haya.

Hata muwatishe vipi, hawawezi kuwasikia! Wala kuwaamini tena. Kwanza mkumbuke hata hapo mlipo hamkuchaguliwa na wananchi!
Ebu waambie hawa wahuni, kama wanakuteka, kukuua, kulawiti, kubaka, kutesa wakati wowote una haki gani nyingine, unapataje amani?
 
Kusema Amani itangulie haimaanishi Serikali haina makosa. Ni haki yetu kudai haki zetu kama RAIA bila vurugu,kumwaga damu.Tatizo lenu mnadhani wanaohubiri Amani wamerambishwa Asali.
Nina uhakika hujui maana ya neno amani kwa maana yake pana.

Peace ni freedom from disturbance; tranquillity.


Kiswahili Amani ni uhuru bila kuonewa, kubughuziwa, usumbufu na mamlaka, yoyote.
 
Back
Top Bottom