Ni kweli kwani kuna taarifa kuwa Waliomdhalilisha Mlinzi wa Esther Matiko wa Jimbo la Tarime Mjini na wale waliomshambulia Catherine wa Jimbo la Seringeti ni Makada wa CCM waliovalia sare za Jeshi la Polisi.Wao kazi yao nikufanya sabotage kwa wapinza kuwatumia vijana wa CCM'by doing so they create haterage'
Alishindwa na Lema arusha mjini akatulia.kumbe Ally hakugombea?
Wacha kupiga mayoweCCM ya Magufuli imeshajifia, imekataliwa Tanganyika na Zanzibar, Duniani na Mbinguni.
Magufuli na PhD fake, hajui Kidhungu. Hauziki.
Hajagombea udiwani, mke wake ndiyo kagombea ubunge Tabora mjini.Amegombea udiwani . Ila anafanyiwa kampeni na atashinda. Ni maaruf sana
2025 atagombea Halima MdeeMpaka sasa CHADEMA na team mzima ya Lissu imeonyesha umahiri mkubwa katika cordination na organization ya kampeni yako...
Nje na kubebwa na tume hakuna mbadalaUsiogope, Ccm tuna mbinu nyingi za kushinda haijalishi kampeni manager wa wapinzani ni kina nani?...😂😂😂.
Hicho ni kitu cha A town. Utalinganisha na wakuokotwa jalalani?Mpaka sasa CHADEMA na team mzima ya Lissu imeonyesha umahiri mkubwa katika cordination na organization ya kampeni yao.
Golungwa na Ally Bananga kama Ma-kampeni Manager wameonyesha uwezo mkubwa sana!... Wako well calculated, organization yao iko very perfect, na Cordination yao is much super.
This is contrary to my party CCM, ambayo secretariate yake chini ya Dr. Bashiru imeshindwa kabisa katika cordination za kampeni kuanzia level ya Kata mpaka Urais. Organization yao iko very poor hasa katika kampeni za urais...
Hawataki watu wenye uwezo kuja mbele kuokoa jahazi... But tatizo kubwa ni kwamba secretariate yote pale haijawahi kushiriki uchaguzi wowote ule tokea wazaliwe..
NB: Hata kama tukishinda this time 2020 basi lazima tufumue secretariate yote pale. Hawa tukienda nao 2025 ngoma itakuwa laini sana kwa Lissu.
Walimdanganya Rais kununua watu kumbe watu wenyewe hawakuwa na any impact. Bora tungewanunua hawa akina Golungwa na Bananga tu tukaachana na sijui Kalanga, Silinde, Lijuakali au Mashinji.... we lost alot of money na focus. Leo hii upinzani tulifikiri umekufa kumbe upo imara na una morali kubwa kuliko ile ye Lowassa 2015 aliyekuwa na umaarufu wa media...
This election ni mgumu than ever before. uzuri CCM huku ndani kwa ndani tushaanza kuona ukweli na hali halisi wa ugumu wa huu uchaguzi
Msihofu upinzani mlishauuwa kwa kuwafungia shughuli zao halali,na kupitia manyanyaso na kuwanyima kusikika katika media,laleni usingizi.Mpaka sasa CHADEMA na team mzima ya Lissu imeonyesha umahiri mkubwa katika cordination na organization ya kampeni yao.
Golungwa na Ally Bananga kama Ma-kampeni Manager wameonyesha uwezo mkubwa sana!... Wako well calculated, organization yao iko very perfect, na Cordination yao is much super.
This is contrary to my party CCM, ambayo secretariate yake chini ya Dr. Bashiru imeshindwa kabisa katika cordination za kampeni kuanzia level ya Kata mpaka Urais. Organization yao iko very poor hasa katika kampeni za urais...
Hawataki watu wenye uwezo kuja mbele kuokoa jahazi... But tatizo kubwa ni kwamba secretariate yote pale haijawahi kushiriki uchaguzi wowote ule tokea wazaliwe..
NB: Hata kama tukishinda this time 2020 basi lazima tufumue secretariate yote pale. Hawa tukienda nao 2025 ngoma itakuwa laini sana kwa Lissu.
Walimdanganya Rais kununua watu kumbe watu wenyewe hawakuwa na any impact. Bora tungewanunua hawa akina Golungwa na Bananga tu tukaachana na sijui Kalanga, Silinde, Lijuakali au Mashinji.... we lost alot of money na focus. Leo hii upinzani tulifikiri umekufa kumbe upo imara na una morali kubwa kuliko ile ye Lowassa 2015 aliyekuwa na umaarufu wa media...
This election ni mgumu than ever before. uzuri CCM huku ndani kwa ndani tushaanza kuona ukweli na hali halisi wa ugumu wa huu uchaguzi
Nyie macho na masikio mmelekeza kwenye mbeleko mlizonazo japo nyingine zinazidi kuuimarisha upinzani kwa kukosa maarifa .Usiogope, CCM tuna mbinu nyingi za kushinda haijalishi kampeni manager wa wapinzani ni akina nani?.
Alishindwa kura za maoni na LemaKumbe Ally hakugombea?
Mpaka sasa CHADEMA na team mzima ya Lissu imeonyesha umahiri mkubwa katika cordination na organization ya kampeni yao.
Golungwa na Ally Bananga kama Ma-kampeni Manager wameonyesha uwezo mkubwa sana!... Wako well calculated, organization yao iko very perfect, na Cordination yao is much super.
This is contrary to my party CCM, ambayo secretariate yake chini ya Dr. Bashiru imeshindwa kabisa katika cordination za kampeni kuanzia level ya Kata mpaka Urais. Organization yao iko very poor hasa katika kampeni za urais...
Hawataki watu wenye uwezo kuja mbele kuokoa jahazi... But tatizo kubwa ni kwamba secretariate yote pale haijawahi kushiriki uchaguzi wowote ule tokea wazaliwe..
NB: Hata kama tukishinda this time 2020 basi lazima tufumue secretariate yote pale. Hawa tukienda nao 2025 ngoma itakuwa laini sana kwa Lissu.
Walimdanganya Rais kununua watu kumbe watu wenyewe hawakuwa na any impact. Bora tungewanunua hawa akina Golungwa na Bananga tu tukaachana na sijui Kalanga, Silinde, Lijuakali au Mashinji.... we lost alot of money na focus. Leo hii upinzani tulifikiri umekufa kumbe upo imara na una morali kubwa kuliko ile ye Lowassa 2015 aliyekuwa na umaarufu wa media...
This election ni mgumu than ever before. uzuri CCM huku ndani kwa ndani tushaanza kuona ukweli na hali halisi wa ugumu wa huu uchaguzi
Mke wake ndio mgombea tabora mjiniAlitia nia jimbo la Arusha wajumbe wakamchinja
Kura hazikutosha dhidi ya LemaKumbe Ally hakugombea?
wameonekana kwenye video clip hii inamaana polisi yeyeto atakaye ingia kituoni ni gaidi. CCM hawana akili maana wana 'alert' kabla ya tarehe 28-10-2020' jibu nikwamba kulinda kura ni lazimaNi kweli kwani kuna taarifa kuwa Waliomdhalilisha Mlinzi wa Esther Matiko wa Jimbo la Tarime Mjini na wale waliomshambulia Catherine wa Jimbo la Seringeti ni Makada wa CCM waliovalia sare za Jeshi la Polisi.
Na inasemekana pia wengi wa askari watakao kuwa kwenye vituo vya kupigia kura tar. 28/10 ni hao hao kwa maigizo ya Jeshi la Polisi.
Wapinzani hasa sisi CHADEMA na ACT Wazalendo tuweni makini mno kuliko kipindi kingine chochote.