Ama kweli ndoa ndoano

Kabisa ni ushauri mzuri , nimependa zaidi uliposema asibague kazi wengi ndio wanafeli hapo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Umesomeka Mkuuu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nikiwaambiaga "Tafuteni hela achaneni na ndoa"" utawasikia ""Ndoa muhimu, umezaliwa na singo Maza wewe"". Ngoja tu yawakute hawa ""raia wabishi sanaa""

#YNWA
Nivizuri kutengeza mifumo imara ya kiuchumi kabla ya kujiingiza katika ndoa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Unajua kuna Machangu wapo kwa ajili hiyo
 

Hekima hii
 
Nipe namba ya shemeji yako, ili nimkanye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…