Ama kweli ndoa ndoano

Katika yote hapa nakupa asilimia elfu moja

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Acha tuwaombee (kidumu chama cha kataa ndoa)
"CHAKANDO"
 
You nailed it bro! Maelezo yako yanafikirisha sana na ndio hali halisi ilivyo
 
Utu ndio kila kitu, tushaongea sana sasa wacha waendelee kuoa matako huku wakidhani maisha huwa ni kitonga milele daima.🀣 Oh siwezi kuoa mwanamke wa kawaida bora nioe mzuri tutarekebishana.
Usioe au kuolewa na mtu kwa kuangalia mambo ya nje ie sura, umbile,sijui elimu, au hali yake ya uchumi, ingawa sikatai kuna preference au features ambazo kila mtu anazipenda lakini ni muhimu kuangalia utu, background ya muhusika especially aina ya familia alnayotoka na malezi aliyopewa, historia ya familia yao na imani yake

Utu wa ndani, upendo, uvumilivu na kubebana katika kila hali, vitu ambavyo unaweza kuvipima wakati wa uchumba, umewahi hata kupretend umefukuzwa kazi au umefunga biashara japo kwa mweI mmoja au miwili uone mchumba wako atachukulia vipi hilo swala?
 
Wosia wa shida na Raha Huwa unaishaia kwenye mlango wa kanisa,shida na Raha ni ya mwanaume pekee Raha ni wote.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…