Punainen
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,303
- 1,056
idawa, hebu semeni kwa nini mkutano wa magufuli Bariadi mjini haukuonyeshwa kwenye taarifa za habari ktk tv zote? Kwa nini ilionyeshwa mikutano kutoka sehemu zingine za mkoa wa Simiyu kama Lamadi nk. kasoro tu mkutano wa Bariadi ambao ni makao makuu ya mkoa?