Ama kweli Lowassa amekwaa kisiki hatari!

Ama kweli Lowassa amekwaa kisiki hatari!

Mkuu hoja sio wasanii,Mbona na nyie mnatumia Chopa Kama kivutio.

Ukweli ni kwamba Lowassa anapwaya kwa Magufuli Pamoja na mtandao hatari alionao.!

Dah Ccm sijui akili zenu kaondoka nazo Lowasa ,chopa ni chombo cha usafiri sio ngorongoro crater
 
Ingekuwa urais unapatikana kwenye mitandao basi Lowasa angekuwa rais,lakini bahati nzuri wapiga kura asilimia kubwa ni wale ambao hawajawahi kutumia mtandao

Kama kule Chato. Lowassa kapita kule leo, sijui salamu ulizipata?
 
Mkuu hoja sio wasanii,Mbona na nyie mnatumia Chopa Kama kivutio.

Ukweli ni kwamba Lowassa anapwaya kwa Magufuli Pamoja na mtandao hatari alionao.!

hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NAKINA WEMA?????MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.
LOWASSA ni habari nyingine.
 
hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NAKINA WEMA?????MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.
LOWASSA ni habari nyingine.
Vipi akina Ney,Roma wale sio wasanii.?
 
Ingekuwa urais unapatikana kwenye mitandao basi Lowasa angekuwa rais,lakini bahati nzuri wapiga kura asilimia kubwa ni wale ambao hawajawahi kutumia mtandao

Duh, kumbe ndiyo wale mliowanyima elimu ya uhakika kwa miaka mingi?Nimeamini ndiyo maana hamtaki kuboresha elimu nchini.
 
Kwenye mikutano yenu fanyeni haya halafu urudi tena hapa JF:

1. Msitumie malori kusafirisha watu
2. Msiwatangulize jukwaani akina daimond na ze komedi!

Adui hawezi kukupa mbinu za vita !
 
Mkuu hoja sio wasanii,Mbona na nyie mnatumia Chopa Kama kivutio.

Ukweli ni kwamba Lowassa anapwaya kwa Magufuli Pamoja na mtandao hatari alionao.!

1442429642699.jpg
LOWASSA ni Giant,Lowassa ni Rais kubali kataa
 
kama una majibu kua wengi wapo kwa lowasa je hao wachache magufuli wako huyo atashindaje.
 
idawa tumalizie kwanza hadithi yetu ya Msako wa hayawani. Au ndio ilikua siasa? Mbona nyie magamba mnakuwa wagumu kutimiza ahadi qudadek?
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na Kujiandaa Kuchukua nchi kwa zaidi ya miaka 25.

Pamoja na kuwanunua aslimia kubwa ya wahariri na waandishi wa kawaida wa vyombo vya habari


Pamoja na kuwanunua robo ya wajumbe wa kamati kuu hadi kufikia hatua ya kumzomea Mwenyekiti.

Pamoja na kuvinunua vyama vikubwa vinne vya upinzani na yeye akiwa ndio mgombea pekee.

Pamoja na kumiliki mtandao mpana zaidi na wa hatari nchini Mafioso & Mafisadi Unity (MMU)

Lakini bado anaonekana kupwaya kwa Magufuli,alieanza harakati za urais juzi ,tena hana mtandao ,hana vyombo vya habari vya kueleweka hata ule mtandao hatari Mafioso & Mafisadi Unity (MMU) unamwogopa na kumwangalia kwa jicho la tatu.!

Magufuli usikate tamaa ,watanzania wachache wenye uelewa na nchi yao wanatambua juhudi zako.!

Miaka 50 ya kushika DOLA bado mnategemea MABANGO kukinadi chama? Mlipaswa kuna na vitu mlivyofanya vya kuwasemea.

Unasema Watanzania wachache wenye uelewa? Unahighlight kushindwa kwa CCM kuleta elimu kwa kuwa kutumia akili sio hulka.
 
Pamoja na Kujiandaa Kuchukua nchi kwa zaidi ya miaka 25.

Pamoja na kuwanunua aslimia kubwa ya wahariri na waandishi wa kawaida wa vyombo vya habari


Pamoja na kuwanunua robo ya wajumbe wa kamati kuu hadi kufikia hatua ya kumzomea Mwenyekiti.

Pamoja na kuvinunua vyama vikubwa vinne vya upinzani na yeye akiwa ndio mgombea pekee.

Pamoja na kumiliki mtandao mpana zaidi na wa hatari nchini Mafioso & Mafisadi Unity (MMU)

Lakini bado anaonekana kupwaya kwa Magufuli,alieanza harakati za urais juzi ,tena hana mtandao ,hana vyombo vya habari vya kueleweka hata ule mtandao hatari Mafioso & Mafisadi Unity (MMU) unamwogopa na kumwangalia kwa jicho la tatu.!

Magufuli usikate tamaa ,watanzania wachache wenye uelewa na nchi yao wanatambua juhudi zako.!
Magufuli usikate Tamaa??? Kumbe ashakata tamaa!
 
Miaka 50 ya kushika DOLA bado mnategemea MABANGO kukinadi chama? Mlipaswa kuna na vitu mlivyofanya vya kuwasemea.

Unasema Watanzania wachache wenye uelewa? Unahighlight kushindwa kwa CCM kuleta elimu kwa kuwa kutumia akili sio hulka.
CCM hainadi chama ila inamnadi Magufuli, maana ccm wameichafua na kuinajisi akina Lowassa .

Kampeni ni kujitangaza ,hivyo mabango ni utaratibu wa kawaida popote pale.

Hata nyie ilibidi mje na utaratibu mpya sio huu uliozoeleka wa ccm wa kubandika mabango barabarani.
 
Vipi akina Ney,Roma wale sio wasanii.?

Hivi kuna mtu anamjua Roma? Tumia akili kila wakati ndugu yangu, watu wanataka kumuona Diamond & CO...akimsindikiza msanii mwenzao Magufuli na wimbo wake Alimselema halija
 
Hivi kuna mtu anamjua Roma? Tumia akili kila wakati ndugu yangu, watu wanataka kumuona Diamond & CO...akimsindikiza msanii mwenzao Magufuli na wimbo wake Alimselema halija
Acha kujitoa ufahamu mkuu ,unataka kusema Roma hafahamiki . hata Roma mwenyewe atakushangaa.!
 
CCM hainadi chama ila inamnadi Magufuli, maana ccm wameichafua na kuinajisi akina Lowassa .

Kampeni ni kujitangaza ,hivyo mabango ni utaratibu wa kawaida popote pale.

Hata nyie ilibidi mje na utaratibu mpya sio huu uliozoeleka wa ccm wa kubandika mabango barabarani.

Nenda kaangalie Masaki ile Haille Sellassie Road yote kila taa ya barabarani ina picha ya Magufuli. Nyerere Road, na kila ukuta ambao mwenyewe sio mkali. Ni aibu kukaa madarakani miaka 50 halafu utegemee picha ya mgombea kukupa kura. Kura zilipaswa kutoka kwenye maendeleo mliofanya.

Maisha ya ujanja ujanja hayafai. Naona mabasi ya mwendo kasi yamewekwa kwenye hold kusubiria 'siku fulani' ili angalau yalete kaimpact. Tehe tehe tehe! Taaban!

Kama Lowassa aliinajisi CCM tulia ainajisi na CDM. Na umesema AKINA LOWASSA, sasa Lowassa katoka, what about the rest?
 
Asante kwa kutambua hill kwamba mpo wachache.... Fanyen kampen bila diamond muone?
 
Back
Top Bottom