monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 720
- 943
TEMBEA UONE: Nani anajua habari zaidi za hawa ndugu zetu,Binadam wenzetu, WaAfrika wenzetu?? Hawa ni jamii ya kabila la Vodama!! Ndugu zetu hawa wanaishi kwenye Wilaya ya Urungwa na Spolilo kando kando ya mto Mwazaramunda kwemye mkoa wa Kanyemba kaskazin mwa Zimbabwe!! Kabila lao wako wote miguu iko hivo na mtu asiye na miguu kama wao kwa ni adui!! Hutegemea kuwinda, kuvua samaki, na kufuga nyuki!! Wao hurina asali wakati wowote hata kama ni jua lawaka kiasi gani hawaogopi nyuki!! Nyoka hata kama ni koboko, fira kobra wao humkamata kama vile anaokota mkanda wa suruali!!