King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Hehehe! Unapenda 'makeup naniliu' eeh?
Gadem it, kuumizwa kutamu.
Gadem it, kuumizwa kutamu.
Young_ Master jua kwamba kuna kusamehe na kusahau
Ila isiwe mara kwa mara maana ataona kama unafanya kusudi
na itafikia atasamehe ila hatasahau
Na hawa wenzetu wanajua sana kuyaweka haya mioyoni mwao
Kuna mmoja alimtukana wife wake "punda" ikapita miaka kibao walisameheana yakaisha
Siku wakiwa safarini na mkewe wakakutana na kundi la punda wanavuka barabara. Mke alimwambia mumewe nenda taratibu usije gonga ndugu zangu hao wanavuka barabara
Miaka zaidi ya kumi imepita toka jamaa amtukane mke wake
So be careful sana mkuu
Duh! Young master, u make me mesmerise about being young again
Nisamehe kwenye mahusiano neno gumu sana kutoka kwenye kinywa changu...sijui kwa nini
Inabidi ujichunguze ili ujue ni kwa nini neno hilo ni gumu kutoka kinywani mwako
Mr Rocky umenichekesha na hii hadisi yako asee......yaani kweli sisi ndio wakukaa na vitu miaka kumi wajameni hahahaaaa
disapointed at u again, why coming late like that?? nways not a big deal, its friday today and still u can have a bigger surprize, so hold your breath.What surprise do you have for me my love?
disapointed at u again, why coming late like that?? nways not a big deal, its friday today and still u can have a bigger surprize, so hold your breath.
do you knw the meaning of surprize?? tulia baba!Am sorry my love I was so busy, i have to fix something before i come to you. Am so sorry, i hope you will understand. By da way what surprise do you have for me my love?
do you knw the meaning of surprize?? tulia baba!
naona anajuta kumfahamu huyuYoung_MasterMhghh huyo mdada kila siku anaumizwa tuu
hata mapenzi yataisha
Nice dedication to her
hope she will forgive you ila uache kumtesa
naona anajuta kumfahamu huyuYoung_Master
surprize halafu nikwambie tena? ndio surprize gani? mbona leo umelate tena kurudi mpaka saa hizi hujarudi, basi nijie na kile kinight dress changu cha white nnachokipendaMhmm!!! Surprize means unatakiwa unipe mkanda mzima wa unachotaka kunifanyia au nimekosea?
hata tunavyogombana bby wangu, nafurahia coz i believ it strengthens our relationship,! nite nalala ukija niamshe!Mhmmm!!! na wewe acha kumsemea mwenzako. Ngoja atakuja mwenyewe na atasema kaama anajuta kunifahamu.
surprize halafu nikwambie tena? ndio surprize gani? mbona leo umelate tena kurudi mpaka saa hizi hujarudi, basi nijie na kile kinight dress changu cha white nnachokipenda
hata tunavyogombana bby wangu, nafurahia coz i believ it strengthens our relationship,! nite nalala ukija niamshe!