Hivi ukisema Mashosti na sisi wa +me tuchangie mjadala au ni kwa +ke tu?
Cantalisia, nini mbaya? Be happy bwana!Pole sana mamito,
hauko peke yako mie mwenyewe sio kbs,
Nilichofanya nimekunywa maji glass 2,nikajisikia ok kidogo,
Nikamalizia kimeo changu sasa narudi zangu hm nikapumzike.
Take a day off, nenda ukamtembelee rafiki, soma kitabu cha zamani... indulge yourself. labda hayo ma deadlines ndio yanakupa stress...Mashosti.wangu nisaidiene.
jamani am soo down. nashindwa hata kufanya kazi ilhali nina a lot of dedlines to meet.
I cant really tell why am having these feelings.
Jioni Njema mashosti. Let me go home.