Am so lonely

Am so lonely

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Mpo wazima humu,

Sipo powa sana na humu but leo its like sina cha kufanya, sijielewi, ninayemuwaza yupo mbali na sijui kama aniwaza pia
ni miezi kama 3 since niachane na mpenzi wangu sure nimevumilia but kuna time nahisi kupungukiwa.

Kiufupi sijakamilika sijui kujichanganya sijui ushost aah ni kama nimefungwa hivi leo ndio kabisa wallah moja haishiki mbili ndio kabisa humu tupo wengi labda ulipokutana na hii hali wewe ulifanya nini?

Ushauri please
 
Penda kujikeep busy, fanya mazoezi ya hapa na pale, kama ni mwanafunz soma sana, kama ww ni ke sikushauri ujichanganye sana na mashost.
 
Penda kujikeep busy, fanya mazoezi ya hapa na pale, kama ni mwanafunz soma sana, kama ww ni ke sikushauri ujichanganye sana na mashost.

Asante nafanya kazi lkn smtmz kazi nashindwa
 
Mpo wazima humu,

Sipo powa sana na humu but leo its like sina cha kufanya, sijielewi, ninayemuwaza yupo mbali na sijui kama aniwaza pia
ni miezi kama 3 since niachane na mpenzi wangu sure nimevumilia but kuna time nahisi kupungukiwa.

Kiufupi sijakamilika sijui kujichanganya sijui ushost aah ni kama nimefungwa hivi leo ndio kabisa wallah moja haishiki mbili ndio kabisa humu tupo wengi labda ulipokutana na hii hali wewe ulifanya nini?

Ushauri please
umukagame umerudi na vimbwanga vyako tena?
Sijui ulipotelea wapi hebu nifuate pm maramoja
 
Last edited by a moderator:
Mwenzio kaweka her past hapa(x changudoa). Je na wewe uliachwa kwa kuweka wazi past yako?
 
Mpo wazima humu,

Sipo powa sana na humu but leo its like sina cha kufanya, sijielewi, ninayemuwaza yupo mbali na sijui kama aniwaza pia
ni miezi kama 3 since niachane na mpenzi wangu sure nimevumilia but kuna time nahisi kupungukiwa.

Kiufupi sijakamilika sijui kujichanganya sijui ushost aah ni kama nimefungwa hivi leo ndio kabisa wallah moja haishiki mbili ndio kabisa humu tupo wengi labda ulipokutana na hii hali wewe ulifanya nini?

Ushauri please

Nilichange interest kwa kuangalia movies kwa sana
 
hauko peke yako kwenye hiyo hali..tuko wengi, pole pole itaisha..jilazimishe kusahau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom