inategemea amekusubiri miaka mingapi.
Kumbuka yeye ni binadamu...
Anahold ndoto zake, mipango yake kwa ajili yako......
Na miaka inaenda mbele hairudi nyuma..
Acha ubinafsi wa kujifikiria weww mwenyewe....
Mfikirie na mwenzio pia!!!!!
Thamini unapothaminiwa, kumbuka hutojua thamani ya ulichonacho mpaka ukipoteze, sharilo...
Kongosho
Nimesharudi na tulipoongea ndio nilisema hiyo 2014 , na hata hapo i did say most probably na sio definately
inategemea amekusubiri miaka mingapi.
Kumbuka yeye ni binadamu...
Anahold ndoto zake, mipango yake kwa ajili yako......
Na miaka inaenda mbele hairudi nyuma..
Acha ubinafsi wa kujifikiria weww mwenyewe....
Mfikirie na mwenzio pia!!!!!
Thamini unapothaminiwa, kumbuka hutojua thamani ya ulichonacho mpaka ukipoteze, sharilo...
What's your position? "One more year or nothing"?
I think it is unreasonable... try to compromise. Hilo shahuri la Mwali hapo juu linawezekana?RussianRoulette
pretty much,,,,,,,,,,,,,,,,at least that was what it was, mpaka nilivyo uliza a few family members ndio waka plant a seed of doubt now im not sure if its the best decision!
Rudi, olewa alafu nenda tena ukamalize shughuli zako.
kama kasubiri kwa muda mrefu sana, uvumilivu unaweza kuwa unamshinda, ameshajipima akaona kafika kikomo chake.
Na pia inategemea wewe unataka kufanya nini umhimu wake akilinganisha na anachotaka mfanye pamoja.
Do you love him? Au 50/50?
I don't know how he told you about this but I think it is the way he spoke about it that got you stiff...Mwali
I guess I could do that, but cost wise its not the best option. Ila n what's bothering me most is mwanaume gani anayetoa ultimatum kwaajili ya mwaka tu............................. Duh jamani si ndio kunyanyasika kwenyewe huku!!!