Uchoyo anatania tu....mimi kama sio JF naangalia TV.Hata mimi nilifanya kama wewe..yaani pekeangu na Jamii Forum..kuhusu uchoyo hapana kwa sababu miamala niliitoa sana kwa ndugu na marafiki ili wafurahie sikukuu.Kwa ujumla napenda sana utulivu wa fikra.
Bahati mbaya huwa sio rahisi kushawishiwa au kuyumbishwa. Na angekuwepo angekuwa na muda wake na muda wangu wa kukaa alone uko pale pale. Anaweza kuona simjali kwasababu hio.nimepitia comments nikashangaa saana hili swali halipo
Wana nguvu ya ushawishi saana. Kiasi kwamba ungekuwa naye asilimia nyingi ungemtoa. Ila sio kutoka.
Bahati mbaya huwa sio rahisi kushawishiwa au kuyumbishwa. Na angekuwepo angekuwa na muda wake na muda wangu wa kukaa alone uko pale pale. Anaweza kuona simjali kwasababu hio.
Upo single ?Habari za Pasaka. Jana ilikuwa sikukuu hivyo nilipata mialiko. Ajabu nilikataa mialiko yote nikaamua kukaa nyumbani peke yangu siku nzima na sikuboreka hata kidogo kwasababu nishazoea na nilipanga nisitoke.
Mwaliko wa kwanza Bi Mkubwa kanipigia asubuhi,anajua nakaa mwenyewe, kaniomba niende nyumbani nikajumuike nao. Bila kujiuliza nikamjibu leo sitaweza kuja nimetoka nje ya mji wakati nimepanga kushinda nyumbani.
Baadae kanipigia binamu wangu,me, kaniomba aje nae nikamwambia leo sitakuwepo nyumbani. Wa mwisho rafiki yangu mkubwa kanipigia jioni kaniuliza kama nipo tu nyumbani anipitie tukasafishe macho maeneo fulani, huyu nilimjibu tu kuwa nipo ila leo sitoki.
Nimekaa nikajifikiria naweza kuwa mbinafsi au loner fulani bila kujijua? Maanake napenda sana kukaa mwenyewe nyumbani au naweza kwenda sehemu ya starehe peke yangu. Na kuna marafiki wananishangaa nawezaje kukaa mwenyewe siku nzima!
Upo single ?Uko km mm
Kwa hiyo ukisikia hamu ya gemu unapiga selfie aka puchu?Swali hili nilitegemea liwe la kwanza. Sina demu mkuu. Ingekuwaje ningekuwa nae?
Sasa kwa mfano ukipata mpenzi kama mimi inakuwaje??Kumbe tupo wengi!!!
me huwa naamua kujifungia tena chumbani.
Sipendi kusikia makelele ya tv wala radio.
Kuna siku huwa sipendi kupokea cm kabisa.
Lazima cm iwe ina bando muda mwingi nitakuwa Jf na kusinzia, nikiwa nimeamua kupumzika inaweza kuchukua hata siku tatu.
Kama kitu kilikuwa kinanisumbua basi siku nitakayoamka hapo nakuwa nimeshapata solution
Good boy, hata mambo ya kuoa achana nayo kabisa, yatakunyima uhuru wa kuwa alone,Hapana huwa nanunua.
Ndio poa kunakuwa hakuna muda wa kugandana kama ruba.Sasa kwa mfano ukipata mpenzi kama mimi inakuwaje??