Alphonce Mawazo ateuliwa kuwa meneja Kampeni Kalenga

Alphonce Mawazo ateuliwa kuwa meneja Kampeni Kalenga

GIBA KB

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
367
Reaction score
111
Kutoka katika facebook page ya Alphonce Mawazo ameandika kwamba Chadema imemteua kuwa kampeni meneja wa mgombea ubunge jimbo la Kalenga Hii ni kutokana na Kampeni meneja Kamanda Lema kuzongwa na majukumu ya bunge la Katiba.
CCM wanadhani wamepumua kumbe bado.Huyu jamaa anajiamini sana na naweza mlinganisha na Lema kwa kiasi fulani. Hana Woga
Chapa kazi kamanda ukiwa na kamanda kibaila.
Pamoja daima....M4C daima
 
Licha ya Kamanda MAWAZO kupata misukosuko sana hata kupata vipigo huko Sombetini hakuiachia kata iende. Katika watu wachache wenye damu ya blue (CDM) na huyu pia yupo.
 
​CDM kama wanapenda ushauri wasipoteze mda wao na fedha zao KALENGA wataambulia patupu hizo hela za campaign bora wazielekeze kwenye wilaya na mikoa wasikopeleka ruzuku
 
​CDM kama wanapenda ushauri wasipoteze mda wao na fedha zao KALENGA wataambulia patupu hizo hela za campaign bora wazielekeze kwenye wilaya na mikoa wasikopeleka ruzuku

Yalisemwa Arumeru mpaka ikawa kero.Mwishowe ikawatokea puani.Tatizo ccm mnajua hamuaminiki.Mnataka vya bure.
 
Yalisemwa Arumeru mpaka ikawa kero.Mwishowe ikawatokea puani.Tatizo ccm mnajua hamuaminiki.Mnataka vya bure.



Mtakuja kunikumbuka...

Hizo hela za kuchezea pelekeni wilayani na mikoani wanakolala njaa kwa kukosa ruzuku
 
​CDM kama wanapenda ushauri wasipoteze mda wao na fedha zao KALENGA wataambulia patupu hizo hela za campaign bora wazielekeze kwenye wilaya na mikoa wasikopeleka ruzuku

dalili za ushoga huanza hivi,kweli ccm na chadema mwenye hali mbaya kalenga ni yupi jamani? wee gamba lusumo acha njaa.
 

Mtakuja kunikumbuka...

Hizo hela za kuchezea pelekeni wilayani na mikoani wanakolala njaa kwa kukosa ruzuku

Tatzo viroba mkuu.Siasa ni ushindani hata kama unayeshindana nae anakuzidi nguvu.Refer kwenye Bible Daudi alimuua Goriath vivyo hivyo Chadema na nguvu ya Mungu tutammalia huyu mkoloni,mwizi,jambazi,katili,mjinga na -------- ccm.
Kamanda Mawazo chapa kazi.Hawa jamaa lazma wakae
 
dalili za ushoga huanza hivi,kweli ccm na chadema mwenye hali mbaya kalenga ni yupi jamani? wee gamba lusumo acha njaa.

Mkuu ushoga wangu hapo uko wapi?

Huwezi changia bila matusi?
 
Mijitu ya ajabu sana nyie?

Kwani huko Kalenga hakuna mtu anayeweza kuwa campaign managaer mpaka lazima awe mchaga?
 
Lengo la kushiriki uchaguzi sio kushinda tu ! Ni opportunity ya kujenga Chama vile vile. Vyama vingi tu vinashiriki uchaguzi na huku vina uhakika wa 100% kwamba havitashinda...mfano hapo Kalinga kuna vyama vingine viwili vinashiriki na vinajua kabisa hakuna possibility ya wao kushinda...ila vinafanya hivyo kama process ya kukua na kuongeza umaarufu wao.......


Mtakuja kunikumbuka...

Hizo hela za kuchezea pelekeni wilayani na mikoani wanakolala njaa kwa kukosa ruzuku
 
Mijitu ya ajabu sana nyie?

Kwani huko Kalenga hakuna mtu anayeweza kuwa campaign managaer mpaka lazima awe mchaga?

Bila kutaja wachaga husikii raha kabisa?????
hivi na yule mgombea wa chadema ni mchaga???
 
Mijitu ya ajabu sana nyie?

Kwani huko Kalenga hakuna mtu anayeweza kuwa campaign managaer mpaka lazima awe mchaga?


Nimewashauri cha msingi sana...

kama wanataka kuwekeza hela nyingi kwenye uchaguzi huu kama yale ya chopa basi watalia maana watashindwa
 
Mijitu ya ajabu sana nyie?

ooKwani huko Kalenga hakuna mtu anayeweza kuwa campaign managaer mpaka lazima awe mchaga?

Ona hili dubwasha jamani,! Hivi wewe aliye kwambia,kuwa Mawazo ni mchaga nani?

Ooh sorry! Kumbe naongea na mgonjwa toka milembe!
 
Ni Jembe la ukweli, imani yangu kwa mawazo kama meneja kampeni ni ushindi 80.5
Viva chadema


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Mijitu mingine cjui yametokea wapi, nani kakuambia mawazo ni mchaga?


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Lema kashajua mapema kuwa kalenga hawataki vurugu ndo maana kajiondoa mapema cdm kalenga ni kazi bure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom