Alphonce Mawazo amvaa Chenge-Bariadi

Alphonce Mawazo amvaa Chenge-Bariadi

ninafikiria kupiga kambi bariadi mwezi wa 7 ili kumteketeza kabisa fisadi chenge , tuombe uzima .
 
hivi huyu A. Mawazo ndiye alikuwa diwani wa ccm kule Arusha akajiuzulu na kuhamia Chadema?
 
Ukimsema chenge vibaya vilaza wasojua chanzo cha ujinga na umaskini wao huumia sana.chadema ni kinywa cha mungu.
umeandika jambo zito kiasi ambacho kimenitetemesha , ishara ya malaika kushuka ili kusaidia ukombozi , Mungu akulinde mkuu .
 
hivi huyu A. Mawazo ndiye alikuwa diwani wa ccm kule Arusha akajiuzulu na kuhamia Chadema?
swadakta , huyu ndiye alikataa yale mambo ya madiwani wa ccm ya kuuza viwanja vya kuchezea watoto kwa mafisadi ( kumbuka kwamba hii ndio sifa kubwa ya diwani yeyote wa ccm )
 
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita kamanda Alphonce Mawazo amemvaa jambazi ambaye kila tuhuma ya wizi yupo na mbaya zaidi hujisifia kwa uwizi wake huo kwa kusema ni vijisent mara anamake geza ya nyoka hivyo huchungulia dili la pesa popote lilipo muda anaipata baada mwenyekiti wa Geita kumfata katika uwanja wa Halmashauri...
muda huu wajumbe mbalimbali wanatema cheche kabla ya mkutano kuanza Chopa inayotumiwa na Mwenyekiti huyo ilizuiliwa kutua bariadi licha ya kuwa na vibali vyote...

Mungu Ibariki Chadema...

Mawazo hamuwezi Chenge. Sana sana atatoa povu tu na hakuna atakachobadili. Labda anafanya mazoezi ya kuomba kura huko Geita.
 
hii post haieleweki umeandika mambo mengi mno kwa wakati mmmoja, mara chopa , mara mawazo mara chenge mara kugombea , hata haueleweki unataka kusema nini, mabavicha mnatabu sana.
 
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita kamanda Alphonce Mawazo amemvaa jambazi ambaye kila tuhuma ya wizi yupo na mbaya zaidi hujisifia kwa uwizi wake huo kwa kusema ni vijisent mara anamake geza ya nyoka hivyo huchungulia dili la pesa popote lilipo muda anaipata baada mwenyekiti wa Geita kumfata katika uwanja wa Halmashauri...
muda huu wajumbe mbalimbali wanatema cheche kabla ya mkutano kuanza Chopa inayotumiwa na Mwenyekiti huyo ilizuiliwa kutua bariadi licha ya kuwa na vibali vyote...

Mungu Ibariki Chadema...

Mawazo kazini Bariadi
 

Attachments

  • IMG_903508263784.jpeg
    IMG_903508263784.jpeg
    68.8 KB · Views: 1,122
Kamanda Mawazo nakukubali sana mkuu tumia ile zana yako kuuwa huyo nyoka wa makengeza
 
Hongera kamanda Alphonce Mawazo, natamani ugombee jimbo hilo hilo tumtoe huyo mpumbavu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom