Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,480
- 272,072
ninafikiria kupiga kambi bariadi mwezi wa 7 ili kumteketeza kabisa fisadi chenge , tuombe uzima .
tupate ka CV pia
umeandika jambo zito kiasi ambacho kimenitetemesha , ishara ya malaika kushuka ili kusaidia ukombozi , Mungu akulinde mkuu .Ukimsema chenge vibaya vilaza wasojua chanzo cha ujinga na umaskini wao huumia sana.chadema ni kinywa cha mungu.
Unishtue Nitakuchangia Kamanda tumechoka namkoloni mweusininafikiria kupiga kambi bariadi mwezi wa 7 ili kumteketeza kabisa fisadi chenge , tuombe uzima .
Ndio huyo huyohivi huyu A. Mawazo ndiye alikuwa diwani wa ccm kule Arusha akajiuzulu na kuhamia Chadema?
swadakta , huyu ndiye alikataa yale mambo ya madiwani wa ccm ya kuuza viwanja vya kuchezea watoto kwa mafisadi ( kumbuka kwamba hii ndio sifa kubwa ya diwani yeyote wa ccm )hivi huyu A. Mawazo ndiye alikuwa diwani wa ccm kule Arusha akajiuzulu na kuhamia Chadema?
wewe ni nani bariadi hadi utuchagulie kiongozi.???
mgao wa kampeni.!!! Kwani wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania, kampeni hufanyika dunia nzima.???
Hao hao wakipindi kile walio mchagua sasa na hao hao wamesema hapana Ukawa inatoshakwani alichaguliwa na familia au na wanabariadi wote na wasiokuwa na vyama.!!!
wazazi wangu wanahusika vipi katika hili.???
Ukimsema chenge vibaya vilaza wasojua chanzo cha ujinga na umaskini wao huumia sana.chadema ni kinywa cha mungu.
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita kamanda Alphonce Mawazo amemvaa jambazi ambaye kila tuhuma ya wizi yupo na mbaya zaidi hujisifia kwa uwizi wake huo kwa kusema ni vijisent mara anamake geza ya nyoka hivyo huchungulia dili la pesa popote lilipo muda anaipata baada mwenyekiti wa Geita kumfata katika uwanja wa Halmashauri...
muda huu wajumbe mbalimbali wanatema cheche kabla ya mkutano kuanza Chopa inayotumiwa na Mwenyekiti huyo ilizuiliwa kutua bariadi licha ya kuwa na vibali vyote...
Mungu Ibariki Chadema...
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita kamanda Alphonce Mawazo amemvaa jambazi ambaye kila tuhuma ya wizi yupo na mbaya zaidi hujisifia kwa uwizi wake huo kwa kusema ni vijisent mara anamake geza ya nyoka hivyo huchungulia dili la pesa popote lilipo muda anaipata baada mwenyekiti wa Geita kumfata katika uwanja wa Halmashauri...
muda huu wajumbe mbalimbali wanatema cheche kabla ya mkutano kuanza Chopa inayotumiwa na Mwenyekiti huyo ilizuiliwa kutua bariadi licha ya kuwa na vibali vyote...
Mungu Ibariki Chadema...
mkuu npo uwanjan hapa lakini huyu kamanda wa chadema mkoa,kiukwel chadema mmebugi yan ni kopo hana anachokijua kuhusu siasa!!!