tupate ka CV pia
Ngoja nimkumbushe na hilo kuwa Chenge ni muuwaji aliwauwa hao akinadada...
mawazo hajipendi
mkuu npo uwanjan hapa lakini huyu kamanda wa chadema mkoa,kiukwel chadema mmebugi yan ni kopo hana anachokijua kuhusu siasa!!!
Sisi hatuchagui chama, tunachagua mtu. Hakuna mtu anayetufaa bariadi zaidi ya Chenge, wengine watasubiri..
umechoka wewe au watu wa bariadi.???
hivi wazazi wako wanajisikiaje wanaposoma maandiko yako ! umewafedhehesha mno !Sisi hatuchagui chama, tunachagua mtu. Hakuna mtu anayetufaa bariadi zaidi ya Chenge, wengine watasubiri..
umechoka wewe au watu wa bariadi.???
Mgawo wa kampeni umekufikia?, wakati ukimhitaji chenge,shule za bariadi zikiendelea kutoa sifuri,wewe na chenge wakoooh kumbe watanzania ndio wameichoka ccm na watu wake.!!! Kwa hiyo unatuambia nini sisi watu wa bariadi.???
wala usimuogope hana lolote , aliwagonga kizembe sana , hakuwahi kumiliki leseni na alihukumiwa faini ya laki 7 .kila nikikumbuka wale wadada waliogongwa na gari la nyoka mwenye makengeza namuogopa sana.
Sisi hatuchagui chama, tunachagua mtu. Hakuna mtu anayetufaa bariadi zaidi ya Chenge, wengine watasubiri..
nadhani hii ndio post ya kimasikini zaidi katika kipindi cha kuanzia siku ya mapinduzi ya zanzibar na leo siku ya Karume , hongera mjomba !mkuu npo uwanjan hapa lakini huyu kamanda wa chadema mkoa,kiukwel chadema mmebugi yan ni kopo hana anachokijua kuhusu siasa!!!
Maana nyie niwasomali na siyo watanzania?ooh kumbe watanzania ndio wameichoka ccm na watu wake.!!! Kwa hiyo unatuambia nini sisi watu wa bariadi.???