Aloyce Nyanda awashangaa Watanzania wanaotumia muda mwingi kumjadili Ole sabaya badala ya shughuli za maendeleo

Naunga mkono hoja! Huyo mpumbavu sio wa kumjadili hata kidogo... Aachwe anyee ndoo maana alijitakia
 
Aloyce Nyanda ana unguli upi? Kwanza ni muoga,hajiamini na anahoji maswali mepesi kwa kupendelea CCM na serkali. Ndio maana kamwe hawezi kuchukuliwa na Television kubwa km Azam na ITV. Kwangu ni mganga njaa tu.Hana lolote.
 
Mkuu wa wilaya jela miaka 30 asijadiliwe? Sizani kama imeshawahi tokea tangu uhuru,kwahiyo alitaka tujadili mafi yake!!?
 
Hana unguli wowote huyo zuzu ingekuwa nchi zilizostaarabika watu wangemgomea kipindi chake aangalie na mkewe.
Anachafua kituo kinaonekana kinaushirika na majambazi waliothibitika mahakamani...wanaotuhumiwa kwa utakatishaji fedha na ulaji rushwa! Tunapokosa maji,umeme,dawa nk hawa ndio wasababishi.

Kama hamjui huyo jambazi alimchangia sana kwenye harusi yake, pia akahudhuria nakusaidia kwenye msiba ukokwao basi ndio anamwona kama mwokozi wake.

Tatizo watangazaji hasa wa star njaa kali na mishahara ni yashida.

Huyu apuuzwe kwa kumtetea jambazi,anashindwa fikiria madhila yaliyowapata watu anajiwazia vijihela alivyopewa!

Hayati mwl. Nyerere alisema tuogope watu wenye bei wanatabia zaumalaya-malaya...
 
O
Mtangazaji nguli na mwendeshaji wa kipindi cha The Big Agenda kinachorushwa na Star tv Aloyce Nyanda aka Mtozi ameonesha kushangazwa na watanzania wa mitandaoni wanaotumia muda mwingi kumjadili Lengai Ole sabayz badala ya kujikita kwenye shughuli za maendeleo.

Source: Star tv

Hata sisi tunashangaa Aloyce nyanda kwa kutumia muda mwingi kutushangaa sisi tunapojadili Sabaya badala ya kuutumia huo muda kufanya shughuli za kimaendeleo.
 
Mtangazaji nguli na mwendeshaji wa kipindi cha The Big Agenda kinachorushwa na Star tv Aloyce Nyanda aka Mtozi ameonesha kushangazwa na watanzania wa mitandaoni wanaotumia muda mwingi kumjadili Lengai Ole sabayz badala ya kujikita kwenye shughuli za maendeleo.

Source: Star tv
Unajua maana ya neno NGULI?
 
Kama yeye anatushangaa sisi kutumia muda kumjadili Sabaya badala ya kufanya shughuli za kimaendeleo,

Ajue na sisi tunashangaa yeye kutumia muda mwingi kutushangaa sisi tunaomjadilia Sabaya badala ya huo muda anaoutumia kutushangaa sisi autumie kufanya shuguli za kimaendeleo.

Hivyo wote TUNASHANGAA NA!!!!!!
 
Watanzania unaweza kuanzisha tukio la kipumbavu tu ukawatoa kwenye reli, wakaanza kuzungumzia hilo tukio wiki nzima wakaacha mambo ya msingi.

Sasa wiki hii na wiki ijayo ni Sabaya tu. Sabaya got what he deserves, watu wangeendelea na mada zenye mashiko, sasa Sabaya weee mwezi mzima.

Anyway, labda hii inawapa faraja kwa namna moja ama nyingine ila haibadili mustakabali wa maisha yao.
Pumbaf
 
Mtangazaji nguli na mwendeshaji wa kipindi cha The Big Agenda kinachorushwa na Star tv Aloyce Nyanda aka Mtozi ameonesha kushangazwa na watanzania wa mitandaoni wanaotumia muda mwingi kumjadili Lengai Ole sabayz badala ya kujikita kwenye shughuli za maendeleo.

Source: Star tv
Kama Aloyce Nyanda anaiona tukio la Ole Sabaya ni la kawaida basi usimuite Mtangazaji Nguli, muite Mtangazaji Kanjanja.

Tukio la Ole Sabaya kuanza kama mwana UVCCM kisha mtuhumiwa wa kujifanya mfanyakazi WA TISS na kushtakiwa Mahakamani kwa kosa hilo, lakini kwa ghafla anateuliwa na Magufuli kuwa DC siyo kitendo cha kawaida.

Vitendo viovu alivyovitenda akiwa DC Hai vya kujeruhi wapinzani wa siasa, kubaka wanawake na kunyang'anya fedha huku akiwasikilizisha anaowanyang'anya fedha simu aliyompigia Magufuli havikuwa vya kawaida.

Maamuzi ya kufanya uharamia Mkoa wa Arusha na wilaya ya Temeke wenye RC wake, DC wake na RPC wake nacho hakikuwa cha kawaida.

Lakini je yote haya Magufuli alikuwa anayasikia na hakuwahi hata kumkanya wala kumchukulia hatua yeyote.

Maisha ya Sabaya kwa miaka 2015-21, inatosha kuandika kitabu au sinema ambayo ni "best seller".

Nashangaa huyo Aloyce Nyanda kama ndiye mwandishi au Mtangazaji Nguli wa Star TV, basi Star TV ijihesabu haina waandishi/ Watangazaji.
 
Huyu saa nyingine ni kama kichwa panzi tu
Mtangazaji nguli na mwendeshaji wa kipindi cha The Big Agenda kinachorushwa na Star tv Aloyce Nyanda aka Mtozi ameonesha kushangazwa na watanzania wa mitandaoni wanaotumia muda mwingi kumjadili Lengai Ole sabayz badala ya kujikita kwenye shughuli za maendeleo.

Source: Star tv
 
angekua na akili angetoka hapo anapofanyia kazi maana bosi wake anamaliza hadi miezi sita bila kuwalipa, ila mdo hvyo hana pa kwenda atafanyj sasa
 
Mtangazaji nguli na mwendeshaji wa kipindi cha The Big Agenda kinachorushwa na Star tv Aloyce Nyanda aka Mtozi ameonesha kushangazwa na watanzania wa mitandaoni wanaotumia muda mwingi kumjadili Lengai Ole sabayz badala ya kujikita kwenye shughuli za maendeleo.

Source: Star tv

Kama kasema hivyo, basi hajui habari ni nini na shughuli za maendeleo ni nini.

Jana katika kijiwe wengine tumetumia muda mwingi kujadili legacy ya Colin Powell badala ya hizo “shughuli za maendeleo”. Je, siku ilipotangazwa jiwe kafariki hali ilikuwaje?
 
Hii tutaijadili mpaka next year hii issue bado mbichi sana yaani
 
Hayo yanasemwa na mtu ambaye kazi yake / maisha yake ni kujadili personalities....

Ningemuelewa kama angekuwa anajikita kwenye issues
 
Back
Top Bottom