Hivi kuna mtu ameacha shughuli zake kwa sababu ya kumjadili Sabaya? Huyo naye amepoteza muda kwa kuzungumzia kitu ambacho hakipo. Sababu yake kubwa ya kutoa kauli hii ni kuumizwa na yaliyomtokea mfadhili wa arusi yake na shughuli za maziko ya baba yake.