Hawa wanasiasa wetu ni wajinga kweli kweli, wanaacha kutengeneza hospitali ambayo inaokoa maisha yao.
Inakuwaje hospitali kama Dodoma isiwe na madaktari au vifaa vya kisasa mpaka wakimbiziwe Muhimbili?
Mapesa wanayotumia kukimbilia Muhimbili na nje ya nchi, yangeliweza kuifanya Dodoma iwe hospitali nzuri.
Inakuwaje hospitali kama Dodoma isiwe na madaktari au vifaa vya kisasa mpaka wakimbiziwe Muhimbili?
Mapesa wanayotumia kukimbilia Muhimbili na nje ya nchi, yangeliweza kuifanya Dodoma iwe hospitali nzuri.