Alone but happy

Alone but happy

Naona tumepishana kidogo KUTAFUTA-Nilikuwa na maanisha kuwa mleta thread amtafute mtu ambaye anajua atakuwa mtu sahihi kwakwe na kupata mapenzi ya kweli na kuyafurahia na sikuwa na maanisha kua wewe ndo uatafute, hope ushanielewa mumy
Unapozungumzia 'kutafuta' unamaanishaje? Af kumbuka mi wa kike sijui natafutaje. Mimi ninachojua mtu unatakiwa ufurahie mahali ulipo....kama ukimpata wa ukweli ni amina lakini huku 'kutafuta ' ndiko kunawaponza wengi na kujikuta unaishia kwenye mahusiano ya ovyo
 
Naona tumepishana kidogo KUTAFUTA-Nilikuwa na maanisha kuwa mleta thread amtafute mtu ambaye anajua atakuwa mtu sahihi kwakwe na kupata mapenzi ya kweli na kuyafurahia na sikuwa na maanisha kua wewe ndo uatafute, hope ushanielewa mumy

Nimekuelewa lakini hata mimi naongelea kutafuta hukohuko
 
In the middle of difficulty lies opportunity.. - Tyta


...don't give up yet!!!
 
Last edited by a moderator:
njia bora ambayo itakufanya usiumie mara kwa mara ni kuwa alone!
 
Naona tumepishana kidogo KUTAFUTA-Nilikuwa na maanisha kuwa mleta thread amtafute mtu ambaye anajua atakuwa mtu sahihi kwakwe na kupata mapenzi ya kweli na kuyafurahia na sikuwa na maanisha kua wewe ndo uatafute, hope ushanielewa mumy

nahic nakufaham khantwe ebu funguka na ID yako ya ukweli
 
Wewe sindie uliletaga thread hapa kuwa watafuta manzii imekuaje ujampata bado?
Maana naona alone but happy hayo yote nibaada ya kusearch weeeeeee na kumkosaeeee!!
Cc miss chagga my mutani njoo huku haraka sana Khantwe na wewe tupiamo jicho hapa faster kama google

unaweza ukampata akawa mzinguaji tu!
 
Last edited by a moderator:
images
\
ANGALIA MUDA WOTE USIWE KAMA HUYU DADA YANGU HAPA NDANI NAYE HATAKI MAPENZI
 
I have a feeling I have been there. But I dont remember the circumstances or when. But I know its not really a bad place
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom