Alone but happy

Alone but happy

siku ukimwagiwa tindikali ndio utaacha kihere here. lol

hee-hee-hee-smiley-emoticon.gif
a-penny-for-your-thoughts-smiley-emoticon.gif
 
Wewe sindie uliletaga thread hapa kuwa watafuta manzii imekuaje ujampata bado?
Maana naona alone but happy hayo yote nibaada ya kusearch weeeeeee na kumkosaeeee!!
Cc miss chagga my mutani njoo huku haraka sana Khantwe na wewe tupiamo jicho hapa faster kama google

Inatokea my dia....unaweza ukawa ulipenda kuwa na mahusiano lakini kila ukiingia kwenye mahusiano unajikuta unaumia tu....ni bora ubaki mwenyewe uwe na furaha
 
Last edited by a moderator:
But alone atakua ivyo mpaka lini mpenzi?
Itafika tena wakati atataka tena kuwa katika mausiano,na kumbuka solution sio kulikimbia tatizo ispokuwa kulitatua anatakiwa atafute aliye sahihi kwake!
Inatokea my dia....unaweza ukawa ulipenda kuwa na mahusiano lakini kila ukiingia kwenye mahusiano unajikuta unaumia tu....ni bora ubaki mwenyewe uwe na furaha
 
finally you have thrown up the sponge

waving-white-flag.gif
[h=3]Natafuta girlfriend nna miaka 21,nipo dar[/h] Started by Khaleed Shaban, 22nd June 2014 12:24
[h=3]Natafuta mke[/h] Started by Khaleed Shaban, 16th July 2014 09:04
[h=3]I need girlfriend[/h] Started by Khaleed Shaban, 21st July 2014 12:36
[h=3]Mapenzi na Elimu[/h] Started by Khaleed Shaban, 14th August 2014 07:
[h=3]Nimerudi tena baada ya kuumia vya kutosha![/h] Started by Khaleed Shaban, 15th August 2014 23:37

hahaha baada ya kuzunguka sasa ameamua kua happy eti
 
But alone atakua ivyo mpaka lini mpenzi?
Itafika tena wakati atataka tena kuwa katika mausiano,na kumbuka solution sio kulikimbia tatizo ispokuwa kulitatua anatakiwa atafute aliye sahihi kwake!

Unapozungumzia 'kutafuta' unamaanishaje? Af kumbuka mi wa kike sijui natafutaje. Mimi ninachojua mtu unatakiwa ufurahie mahali ulipo....kama ukimpata wa ukweli ni amina lakini huku 'kutafuta ' ndiko kunawaponza wengi na kujikuta unaishia kwenye mahusiano ya ovyo
 
finally you have thrown up the sponge

waving-white-flag.gif
Natafuta girlfriend nna miaka 21,nipo dar

Started by Khaleed Shaban, 22nd June 2014 12:24
Natafuta mke

Started by Khaleed Shaban, 16th July 2014 09:04
I need girlfriend

Started by Khaleed Shaban, 21st July 2014 12:36
Mapenzi na Elimu

Started by Khaleed Shaban, 14th August 2014 07:
Nimerudi tena baada ya kuumia vya kutosha!

Started by Khaleed Shaban, 15th August 2014 23:37

kuanzia sasa unakuwa mkuu wa kitengo cha kumbukumbu na matukio (picha) humu JF MMU, vigezo vyote unavyo, naomba wenzangu waniunge mkono. pindi mtu anatuchosha na mada zake za kujichanganya basi uitwe uwaumbue kama hivi. kazi nzuri. maana watu wanaona raha kuaznisha siredi halafu wanasahau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom