Toa correct arguments,acha kubwabwajakama hujui jambo bora uulize kabla ya kuja kujiaibisha namna hii.
sikutegemea hili litoke kwako.
unajiaibisha mkuu. futa ama edit hii thread. hujui mambo ya madini. nyamaza.
Toa correct arguments,acha kubwabwajakama hujui jambo bora uulize kabla ya kuja kujiaibisha namna hii.
sikutegemea hili litoke kwako.
unajiaibisha mkuu. futa ama edit hii thread. hujui mambo ya madini. nyamaza.
Hapa ishu kuu ni bei iliyotajwa haiendani na hizo kilo 19.5 Hebu basi turudi mahakama ya Kenya.Nimeelewa na ndiyo maana nimeuliza jee inawezekana kukapatikana kwa kilo 19.5 kwa wakati mmoja? Kuwa na Karati 350 hadi kilo 19.5 kama inawezekana basi inawezekana pia mtoa taarifa yupo sahihi. Hoja yangu hapa ni jee kama taifa hatujawahi kusafirisha kilo zaidi ya 19 kwa wakati mmoja?
CChukuwa vitabu usome.Tunajuaje Kama na wewe hutudanganyi???
Ukweli unajibiwa kimbumbumbu, Tanzania tumekua mijitu ya ajabu.Wew mwenyewe hujui maana ya carat.Natumia kilo mbili za Maji???Huyu Yeriko ni mbumbumbu kwenye eneo hili, anakurupuka ili mradi apinge kama ilivyo ada ya chama na bongo zao. Kipimo cha karati ni kwenye kuthaminisha mng'ao au ubora wa almasi, mwisho wa siku uzito pia humata. Au uniambie almasi ina thamani sawa ikiwa karati sawa bila kujali ukubwa au udogo wake. Kweli wajinga ndio waliwao. Au wangepima na waanze sema kuna mawe 1000 na kila moja lina carat hii hii na hii? Wewe kipimo chako bamia, endelea kulima bamia dogo.
Je ni sahihi mtu kusema anazo Lita 20 za mbao au chuma?Sasa hata kama hiyo almasi ina ukubwa kama wa yai je kama vipande viko vingi wakaweka kwenye mzani wa kawaida???
Hujui hata tofauti ya quality & quantityHuyu Yeriko ni mbumbumbu kwenye eneo hili, anakurupuka ili mradi apinge kama ilivyo ada ya chama na bongo zao. Kipimo cha karati ni kwenye kuthaminisha mng'ao au ubora wa almasi, mwisho wa siku uzito pia humata. Au uniambie almasi ina thamani sawa ikiwa karati sawa bila kujali ukubwa au udogo wake. Kweli wajinga ndio waliwao. Au wangepima na waanze sema kuna mawe 1000 na kila moja lina carat hii hii na hii? Wewe kipimo chako bamia, endelea kulima bamia dogo.
Kama ni hivyo basi bei ya almasi hawaijui?Hujaelewa nini mkuu?Kasema kamoja kako kama yai,je kama wamekuta viko vingi wakavikusanya pamoja na kuviweka kwenye mzani???
ngeseKwa mtazamo wangu umebanwa na mavi ukaamka naomba ukakate gogo kwanza ndio akili zirudi
Sasa kama wamepima mawe yenye almasi thamani yake wameitoa wapi............ wamgesena thamani yake haijulika labda ningeona wana akili vinginevyo unatetea uzwazwa tuHuyu Yeriko ni mbumbumbu kwenye eneo hili, anakurupuka ili mradi apinge kama ilivyo ada ya chama na bongo zao. Kipimo cha karati ni kwenye kuthaminisha mng'ao au ubora wa almasi, mwisho wa siku uzito pia humata. Au uniambie almasi ina thamani sawa ikiwa karati sawa bila kujali ukubwa au udogo wake. Kweli wajinga ndio waliwao. Au wangepima na waanze sema kuna mawe 1000 na kila moja lina carat hii hii na hii? Wewe kipimo chako bamia, endelea kulima bamia dogo.
kama hujui jambo bora uulize kabla ya kuja kujiaibisha namna hii.
sikutegemea hili litoke kwako.
unajiaibisha mkuu. futa ama edit hii thread. hujui mambo ya madini. nyamaza.
Unahakika mimi ni bavicha?hii thread ni kipimo namna bavicha mlivyo weupe vichwani.
hamna kitu. mnadanganyana halafu mnakuja kutusumbua tu.
Mbona Unajitoa Ufahamu Almasi Ni Germ Stone,ALMASI SIO GERM STONE
KWANZA LIELEWE HILO
Sent from Calculator Phone vesion007
Vip ya kwako huwa hayatoki kwasababu mchi unakuwa umezama au?Kwa mtazamo wangu umebanwa na mavi ukaamka naomba ukakate gogo kwanza ndio akili zirudi
Inawezekana kwa mtaalam wetu wa kemia katusaidia kukonveti...Hivi ni sahihi kusema mtu kanunua nyama yenye UZITO wa MITA mbili? au kakimbia umbali wa Lita tatu?