Almasi ya Bilioni 32 inayodaiwa kukamatwa Uwanja wa ndege Dar ni Uongo wa karne!

Wewe kweli hamnazo.

Kwanza napenda uelewe kuwa inawezekana kabisa. Almasi hupimika kwa uzito pia.

Pia elewa kuwa si kila almasi itokayo Mwadui huwa ni kiwango cha "gem", nyingi ni " "industrial" na hupimwa kwa uzito.

Hata ikiwa ni gem nazo pia hupimwa kwa uzito.

Kilo 19.5 za almasi zinawezekana kabisa kuwa ni sahihi na hata zaidi ya hapo.

Bei za Industrial quality diamonds zinaendaje kwa sasa?

Kama hauna jibu ujielewe kuwa u punguani.

Kwa jinsi nilivyozielewa hizo habari, hizo almasi zimezuiliwa ili zithaminishwe upya na si kuwa zimeshikwa kwa kuwa kuna kosa la kuzitorosha. Ni kama Makinikia tu.
Upo sawa kabisa Dada yangu kuna kale kamchezo kalikokua kakifanywa na wanunuzi wa ROUGH DIAMOND STONES wananunua mzigo wakishakamilisha Lots zao wanapeleka wizara ya Madini ILI zihakikiwe na walipie kodi zake ambazo ni 4% wapigiwe Sealed kabxa na wapate tu CERTIFICATE kutoka ofisi ya madini ...sasa kama mzigo unathamani wa dola laki wanatoa kitu kidogo kwa hao wahusika mzg unashushwa thamani unakua wa dola Elf20
wamesahau kua serikali ya sasa haijaribiwi UJANJA UJANJA HAKUNA

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Published on 5 Dec 2015
Mgodi Wa Almasi Mwadui Waombwa Kuanza Kulipa Kodi
Serikali imetoa agizo katika uongozi wa mgodi wa almasi wilaya ya Mwadui, Shinyanga Tanzania na kutaka uzalishe zaidi, kupunguza gharama za uendeshaji na waanze kulipa kodi ya mapato.

Mrabaha wa almasi kwa mwaka 2015 ulikuwa unaipatia serikali Tshs. bilioni 30 na kodi ya mapato bado mgodi wa Petra hawajaanza kulipa yaani ni sifuri yaani Tshs. 0. Uzalishaji wa mgodi ni kuwa wanapata karati 5 (almasi makinikia) kwa kila tani mia moja ya mchanga yaani gramu 1 ya almasi ''makinia /rough'' kwa kila tani mia ya mchanga.



Source: Simu TV
 
Published on 5 Dec 2015
Mgodi Wa Almasi Mwadui Waombwa Kuanza Kulipa Kodi
Serikali imetoa agizo katika uongozi wa mgodi wa almasi wilaya ya Mwadui, Shinyanga Tanzania na kutaka uzalishe zaidi, kupunguza gharama za uzalishaji na waanze kulipa kodi ya mapato.

Mrabaha wa almasi kwa mwaka 2015 ulikuwa unaipatia serikali Tshs. bilioni 30 na kodi ya mapato bado mgodi wa Petra hawajaanza kulipa yaani ni sifuri yaani Tshs. 0. Uzalishaji wa mgodi ni kuwa wanapata karati 5 kwa kila tani mia moja ya mchanga yaani gramu 1 kwa kila tani mia ya mchanga.



Source: Simu TV

Kwa cc wachimbaji wadogowadogo na kwa jinsi tunavoijua Almasi jamani hii sehem tuiheshimu saaana..
Hapa hakuna cha TANZANITE.DHAHABU..RUBY..sijui green tomarine au blue siphire
Almasi ukijaaliwa kuipata karanga tu...
Kesho utarushwa hadi YOUTUBE

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Nimeelewa na ndiyo maana nimeuliza jee inawezekana kukapatikana kwa kilo 19.5 kwa wakati mmoja? Kuwa na Karati 350 hadi kilo 19.5 kama inawezekana basi inawezekana pia mtoa taarifa yupo sahihi. Hoja yangu hapa ni jee kama taifa hatujawahi kusafirisha kilo zaidi ya 19 kwa wakati mmoja?
Carat ni kipimo cha kufanyia biashara tu. Kumbuka kuwa almasi inakatwa vipande vidogo na kuchongwa. Hivyo kuwa na vipande vidogo vingi ukaviweka katika mzani wa kawaida na kupata uzito kwa kilo siyo ajabu. Nakumbuka Alma's kubwa ya zote iliyowahi kuchimbwa ilikuwa na uzito wa zaidi ya carat 500.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa cc wachimbaji wadogowadogo na kwa jinsi tunavoijua Almasi jamani hii sehem tuiheshimu saaana..
Hapa hakuna cha TANZANITE.DHAHABU..RUBY..sijui green tomarine au blue siphire
Almasi ukijaaliwa kuipata karanga tu...
Kesho utarushwa hadi YOUTUBE

Sent from Calculator Phone vesion007

Published on 17 Mar 2017
Sierra Leone pastor unearths massive 706-carat diamond
A pastor working in the mines of eastern Sierra Leone has unearthed a 706-carat diamond. Experts say the stone could rank as the 10th largest ever found. The huge diamond was discovered by Emmanuel Momoh, one of thousands of Sierra Leoneans who seek their fortunes in the informal mining sector that dominates the diamond-rich Kono region. This is the biggest diamond find since 1971. The stone was presented to the country's President Ernest Bai Koroma.

Source: CGTN Africa
 
kama hujui jambo bora uulize kabla ya kuja kujiaibisha namna hii.

sikutegemea hili litoke kwako.

unajiaibisha mkuu. futa ama edit hii thread. hujui mambo ya madini. nyamaza.
Kajiaibisha wapi? We ndo unajiaibisha kwa kuongea madudu hapa
 
Huyu Yeriko ni mbumbumbu kwenye eneo hili, anakurupuka ili mradi apinge kama ilivyo ada ya chama na bongo zao. Kipimo cha karati ni kwenye kuthaminisha mng'ao au ubora wa almasi, mwisho wa siku uzito pia humata. Au uniambie almasi ina thamani sawa ikiwa karati sawa bila kujali ukubwa au udogo wake. Kweli wajinga ndio waliwao. Au wangepima na waanze sema kuna mawe 1000 na kila moja lina carat hii hii na hii? Wewe kipimo chako bamia, endelea kulima bamia dogo.

Watu wengi ni weupe vichwani mwao. Hoja nyepesi sana hiyo. Angejiuliza swali rahisi tu, almasi haina uzito, na kipimo cha uzito ni kipi?
 
Madawa ya kulevya huwa wanaonyesha. Makontena ya makinikia wanatuonyesha na hii nayo kwanini hakuna hata kapicha?au ni confidential kama bombadia
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Huyu Yeriko ni mbumbumbu kwenye eneo hili, anakurupuka ili mradi apinge kama ilivyo ada ya chama na bongo zao. Kipimo cha karati ni kwenye kuthaminisha mng'ao au ubora wa almasi, mwisho wa siku uzito pia humata. Au uniambie almasi ina thamani sawa ikiwa karati sawa bila kujali ukubwa au udogo wake. Kweli wajinga ndio waliwao. Au wangepima na waanze sema kuna mawe 1000 na kila moja lina carat hii hii na hii? Wewe kipimo chako bamia, endelea kulima bamia dogo.

hata kama ni mbumbumbu, lakini anayo hoja. Nyie mnaopambana kumfurahisha mkuu kwa kuigiza roho mbaya ndio mnachekesha zaidi. kampuni inao ubia na serikali na serikali inao watu wao huko mgodini sasa hii ya kukamatana kwa kuita camera ya nini. Maana yake ni kuwa serikali katika kusafirisha ni sehemu au wanahusika sababu ni wabia, sasa ijikamate yenyewe? mengine wanajitia aibu. Tunaomba watumkie tena waandishi wakati wanamaliza huo mzozo, ni sawa na makinikia tu mbwembwe nyingi na sasa aibu imewajaa.
 
Huyu Yeriko ni mbumbumbu kwenye eneo hili, anakurupuka ili mradi apinge kama ilivyo ada ya chama na bongo zao. Kipimo cha karati ni kwenye kuthaminisha mng'ao au ubora wa almasi, mwisho wa siku uzito pia humata. Au uniambie almasi ina thamani sawa ikiwa karati sawa bila kujali ukubwa au udogo wake. Kweli wajinga ndio waliwao. Au wangepima na waanze sema kuna mawe 1000 na kila moja lina carat hii hii na hii? Wewe kipimo chako bamia, endelea kulima bamia dogo.
Mimi natokea Mwadui, kilo 19 za almasi mtasubiri sana.

ACHA nikae KIMYA...!
 
Hivi ni sahihi kusema mtu kanunua nyama yenye UZITO wa MITA mbili? au kakimbia umbali wa Lita tatu?

Hapa tu ndipo nimegundua uzi huu ni wa business as usual. Pinga kila kitu.

Abbreviated "ct." and spelled with a "c" is a measure of weight used for gemstones. One carat is equal to 1/5 of a gram (200 milligrams). Stones are measured to the nearest hundredth of a carat. A hundreth of a carat is also called a point. Thus a .10 carat stone can be called either 10 points, or 1/10 of a carat. Small stones like .05, and .10ct are most often referred to by point designations.
Carats to Grams conversion

Vyote ni vipimo vya uzito.
 
Hebu weka na picha za hiyo almas iliyo kamatwa.
Bunduki tunaonyeshwa, mabomu tunaonyeshwa, mihadarati tunaiona.
Tatizo vitu vyenye asili ya MAKINIKIA ni siri kubwa kwa sasa.

ACHA nikae KIMYA...!
 
Sasa hata kama hiyo almasi ina ukubwa kama wa yai je kama vipande viko vingi wakaweka kwenye mzani wa kawaida???
Kwenye uzito naona nyerere kapotea kidogo ila tukirudi kwenye hayo mengine habari hii ya kukamatwa dhahabu ni UONGO na UZUSHI wa kuwaondoa WATU KWENYE MAMBO MUHIMU.
KIROBA CHA ALMASI YA TRILIONS SIO MCHEZO KUAMUA TU KUKIIBA KAMA VILE UMEROGWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom