BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,284
Nimekwambia achana na kusoma vitabu vinavyopotosha maana halisi ya neon Demokrasi. Neno demokrasi lina maana moja tu, matapeli wakaona kuna hela ya bure na hivyo kuandika vitabu na kupotosha maana halisi ya neno hilo. Hakuna idea mpya yoyote utayoipata kwa kusoma kitu kilichopotoshwa badala ya kuendelea kujiongezea ujinga na kuamini kitu potofu kwamba ndiyo maana halisi ya neon husika. Hakuna consensus kwa wale waliopotoshwa kama wewe lakini wale wanaotambua THE TRUE DEFINITION ya neno demokrasi hawatakuja na definition potofu kama ufanyavyo wewe hapa.
Sija potosha nime soma idea za watu mbali mbali kuhusu demokrasia, nimesoma viongozi na jamii mbali mbali walivo kuwa na fikra zao kuhusu demokrasia.
Wewe mwenye niki kwambia uniambie accepted definition ya demcracy huwez kunipa kwa sababu hakuna "concesus", sasa wewe unatumia "popular definition" ambayo ni ya ki liberali ila sio kuwa hiyo ya kwako tuu ndiyo iko sahihi
Ndio maana nika sema soma vitabu, usiogope kupata idea mpya ndugu

