Ally Pugi Hatunaye tena

Ally Pugi Hatunaye tena

Tiba

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2008
Posts
4,607
Reaction score
3,191
Wana JF,

Taarifa nilizozipata muda si mrefu zinasema kwamba mwanamuziki mwimbaji maarufu wa muziki wa dansi Ally Pugi amefariki dunia usiku wa kuamkia jana (12/6/2010) huko Morogoro alikokuwa amekwenda kusalimia ndugu zake. Marehemu Ally ambaye mpaka wakati kifo kinamkuta alikuwa mwimbaji wa bendi ya BRC (Bendi ambayo uwa inatumbuiza pale Port View siku ya Ijumaa) alikuwa akifanya shughuli za Muziki huko nchini Botswana kabla ya kujiunga na BRC January 2009. Marehemu Ally tayari amezikwa huko huko Morogoro.

RIP Ally.

Tiba
 
RIP Ally Pugi, almaarufu Ally Baba kwa huku Botswana, tutakumiss sana, memeory zako haziwezi kufutika hasa ulipokuwaga jukwaani ndani ya ZEBRAS,
 
RIP Ally Pugi, almaarufu Ally Baba kwa huku Botswana, tutakumiss sana, memeory zako haziwezi kufutika hasa ulipokuwaga jukwaani ndani ya ZEBRAS,

Mkuu Kituko,

Kwa sisi tuliopata nafasi ya kuwa naye karibu, kwa kweli alikuwa ni muimbaji mahiri. Mimi nilimpenda sana na hasa alipokuwa anaimba wimbo wa "Kinyonga". Ilikuwa ni lazima nikamtuze. Anyway yeye katangulia na wengine tunafuata!!!!

Tiba
 
Mkuu Kituko,

Kwa sisi tuliopata nafasi ya kuwa naye karibu, kwa kweli alikuwa ni muimbaji mahiri. Mimi nilimpenda sana na hasa alipokuwa anaimba wimbo wa "Kinyonga". Ilikuwa ni lazima nikamtuze. Anyway yeye katangulia na wengine tunafuata!!!!

Tiba

pole na wewe pia Bw Tiba kwa kuondokewa na mtu wako wa karibu
na mimi huyo jamaa alikuwa wa karibu sana, nilianza kumfahamu alipokuwa pale Knondoni Mkoko alipokuwa anapiga na Bantu group, niliishi nae pia pale Gaborone akiwa na Marehemu Abdalah "Dogodogo", Shaban "Wanted", Gregory, Maliki Star na baadae Kupaza na nilikuwa nae mwezi wa tatu this yr hapo Dar Pale maeneo ya MAwenzi Tabata walikuwa wanapiga pale,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom